ZAIDI YA WANANCHI 300 WAELIMISHWA EWURA INAVYOSHUGHULIKIA MALALAMIKO
OFISA Huduma kwa Wateja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Kati, Juma Singano,akitoa elimu kwa wananchi waliotembelea banda la EWURA katika Maonesho ya Nanenane Kitaifa yanayoendelea kwenye viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma. Na.Alex Sonna_DODOMA MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetoa rai kwa wananchi…