Mcolombia, Fei Toto waachiwa msala Azam FC
MSHAMBULIAJI mpya wa Azam FC, Mcolombia Jhonier Alfonso Blanco amepewa mikoba ya kikiongoza kikosi hicho akishirikiana na Feisal Salu ‘Fei Toto’ katika mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii dhidi ya Coastal Union kwenye Uwanja wa New Amaan Complex visiwani Zanzibar. Nyota huyo ni ingizo jipya ndani ya kikosi hicho ambacho kilimsajili kutoka Rionegro…