KASEKENYA AIPONGEZA TANROADS KWA VIFAA VYA KISASA VINAVYOTUMIKA KWENYE UJENZI WA BARABARA

NAIBU  Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya,akitoa maelezo mara baada yakukagua gari  alipotembelea banda la TANROADS kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima Nanenane yanayofanyika katika  viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma. Na Alex Sonna-DODOMANAIBU  Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya,amewataka wanaopewa dhamana ya kujenga miundombinu ya barabara kuzingatia ubora na thamani ya fedha. Mha. Kasekenya, alisema hayo tarehe 8…

Read More

Billioni 700+ imetengwa kwaajili ya mikopo ya wanafunzi

Bodi ya mikopo ya elimu ya juu Tanzania (HESLB) imesema serikali imetenga zaidi ya bilioni 700 kwa mwaka huu wa 2024,2025 kwaajili ya kusomesha wanafunzi zaidi ya 240,0000 kwa wanafunzi mbalimbali wa vyuo vikuu Mkurugenzi mtendaji wa bodi ya mikopo Dkt.Bill Kiwia amesema serikali imeendelea kuboresha bajeti ya kusomesha wanafunzi na wanatarajia pia kuongeza idadi…

Read More

NFRA kununua tani milioni 1.7 za nafaka

  WAKALA wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) umesema kuwa umepanga kununua tani 1,750,000 za nafaka mbalimbali kutoka kwa wakulima nchini kwa ajili ya mauzo ya ndani na nje ya nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …(endelea). Kati ya tani hizo, NFRA tayari imeshasaini mkataba wa kuuza tani 1,150,000 katika nchi za Jamhuri ya Congo…

Read More

Chuku ajifunga mwaka Tabora United

BAADA ya kuikosoa Ligi Kuu kwa msimu mmoja na nusu, beki Salum Chuku amerejea baada ya kusaini mwaka mmoja kuitumikia Tabora United huku akiwa tayari kwa vita ya namba dhidi ya mastaa wa nje kwenye timu hiyo. Chuku ambaye anacheza beki wa kushoto na winga, akitamba na Toto Africans, Mbeya Kwanza, Nkana Reds, KMC na…

Read More

Wananchi 270 waiburuza mahakamani halmashauri ya Muheza

Wananchi 260 wakiongozwa na wakili Saimoni mbwambo wamefungua shauri dogo kwenye mahakama kuu kanda ya Tanga dhidi ya halmashauri ya wilaya ya muheza  kwa madai ya kutaka kuchukua mashamba yao kuwapa wawekezaji bila kufuata utaratibu . Awali Wakili saimoni mbwambo akiwawakilisha wananchi hao amesema kua wamefungua shauri hilo dogo kwa wanakijiji  10 ambao watawawakilisha wenzao…

Read More

TCB yataja mikakati kuendana na mageuzi ujio wa SGR

  KATIKA kuwa sehemu ya mradi wa reli ya kisasa (SGR), Benki ya TCB imeeleza kujivunia kuwa benki mdau namba moja katika mradi huo wa kimageuzi kwa kuwezesha mchakato wa kuagiza vichwa vya treni na mabehewa ya SGR na kutoa mikopo kwa wakandarasi wa Yapi Merkezi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Akizungumzia…

Read More

DC MOYO ATEMBELEA BANDA LA TBS MAONESHO NANENANE LINDI

MKUU wa Wilaya ya Nachingwea, Mohammed Moyo amewaasa wajasiriamali kuhakikisha wanazalisha bidhaa zilizo bora na kuweza kusajili na Shirika la Viwango Tanzania ili kupata alama ya ubora kwenye bidhaa zao. Wito huo ameutoa leo Agosti 7,2024 kwenye Maonesho ya Nanenane yanayofanyika katika Viwanja vya Ngongo mkoani Lindi. Aidha amewataka wazalishaji na wasambazaji wa bidhaa kuendelea…

Read More