N-Card bado kitendawili Zanzibar | Mwanaspoti

WAKATI homa ya pambano la nusu fainali ya Ngao ya Jamii kati ya Azam na Coastal Union likipamba moto, mashabiki wa soka visiwani Zanzibar bado wamekuwa na uelewa hasi juu ya matumizi ya kadi za kuingilia uwanjani N-Card. Timu hizo zinakutana kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, visiwani Zanzibar kuanzia saa 10:00 jioni, kusaka tiketi…

Read More

Serikali yaanza mpango wa kurasimisha upya wamachinga

  Serikali imesema inatarajia kuanzisha mfumo utakaowawezesha wafanyabiashara wasio rasmi kutambuliwa ili kuongeza wigo wa ukusanyaji wa mapato ya kodi kwa maendeleo ya nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Mpango huo unalenga kuwahusisha wafanyabiashara hao katika mfumo rasmi wa uchumi na kuongeza mchango wao katika kuongeza mapato ya serikali. Akizungumza na waandishi…

Read More

Kidato cha pili bado mwiba kwa wanafunzi Tanzania

Dar es Salaam. Aibu, kutojiamini na kuhisi hawana akili vimetajwa kuwa miongoni mwa vitu vinavyowakumba wanafunzi waorudia darasa jambo linalochochea baadhi kukacha masomo. Kurudia darasa kunatajwa kuchangiwa na maandalizi duni wanayopata wanafunzi wanapokuwa ngazi ya msingi jambo linalofanya washindwe kumudu masomo ya sekondari. Ripoti ya Best Education 2024 iliyotolewa na Ofisi ya Rais Tawala za…

Read More

TCB YAENDELEA KUCHOCHEA MAENDELEO YA KIUCHUMI KWA KUTOA USHIRIKIANO KATIKA MIRADI YA MIUNDOMBINU

Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imesema inajivunia kuwa sehemu ya mradi wa reli ya kisasa (SGR) uliozinduliwa hivi karibuni kwa safari ya kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma. Akihutubia katika uzinduzi huo jijini Dodoma, Mheshimiwa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan aliuelezea mradi huo kuwa kielelezo cha maendeleo makubwa ya kimiundombinu na ya taifa kwa ujumla…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Mtibwa Sugar kama wameamua hivi

TUNAJISAHAU na usajili unaofanywa na timu za Ligi Kuu Bara lakini huko katika Ligi ya Championship kuna watu wanajipanga hasa kuhakikisha wamo kwenye Ligi Kuu msimu ujao. Miongoni mwa timu za Championship zinazofanya usajili wa kibabe ni Wakata Miwa wa Mtibwa Sugar ambao msimu uliopita wa 2023/2024 waliaga Ligi Kuu baada ya kushika mkia katika…

Read More

CMSA:UWEKEZAJI MASOKO YA MITAJI WAONGEZEKA

Na Mwandishi wetu,Dodoma MENEJA Uhusiano na Elimu kwa Umma wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA), Charles Shirima amesema uwekezaji katika kampuni za umma umeongezeka kwa kiwango cha juu tofauti na hapo awali. Ameeleza hayo wakati akizungumza na wananchi pamoja na waandishi wa habari kwenye maonyesho ya nanenane kwa kubainisha kuwa wamekuja kutoa…

Read More