Bavicha wajitosa sakata la ‘kutekwa’ aliyechoma picha ya Rais

Dar es Salaam. Wakati giza likiendelea kutanda kuhusu alipo Shadrack Chaula anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana, Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha), limesema litatumia siku ya vijana dunia kutangaza hatua watakazozichukua ili kukomesha vitendo hivyo. Bila kuzitaja hatua hizo, mratibu wa uhamasishaji wa Bavicha, Twaha Mwaipaya ameiambia Mwananchi leo Alhamisi Agosti…

Read More

JKU yawalainishia Waarabu CAF | Mwanaspoti

WAKATI Yanga ikipata mtelezo kutoka kwa Vital’O ya Burundi iliyoamua mechi za nyumbani ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2024-2025 kucheza Dar es Salaam, JKU ya Zanzibar nayo imewalainishia wapinzani wao Waarabu wa Misri, Pyramids. Ipo hivi. Mabingwa hao wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) na wawakilishi wa visiwa hivyo katika Ligi ya Mabingwa Afrika,…

Read More

Mkurugenzi wa Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) atembelea banda la Serengeti

Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Private Sector Foundation, Raphael Maganga (katikati) alipotembelea banda la Serengeti Breweries Limited kwenye viwanja vya Nane Nane mjini Dodoma kujionea shughuli zinazofanywa na kampuni hio katika uzalishaji bia kupitia mazao wanayonunua kutoka kwa wakulima nchini. Wa kwanza kulia ni afisa kilimo biashara wa SBL, Aloyce Kimaro na wa kwanza kulia ni…

Read More

Mashabiki Azam, Coastal mdogo mdogo

MASHABIKI mbalimbali wameendelea kujitokeza mdogo mdogo kwa ajili ya kununua tiketi za mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii, kati ya Azam FC dhidi ya Coastal Union utakaopigwa saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa New Amaan Complex visiwani Zanzibar. Mwanaspoti ambalo limewe kambi visiwani hapa kwa ajili ya mchezo huo, limeshuhudia mashabiki wakiendelea kujitokeza…

Read More