RAPA WA MAREKANI KUTANGAZA UTALII WA TANZANIA – MWANAHARAKATI MZALENDO
Mwanamuziki kutoka Nchini Marekani Romeo Miller ambaye alipata umaarufu mkubwa kwa kufanya kazi na baba yake mzazi mtayarishaji wa Muziki Master P, ambaye pia ni Movie Star huko Marekani amewasili Jijini Arusha usiku wa kuamkia leo kwaajili ya kufanya shughuli mbalimbali za kitalii ikiwemo kushiriki kwenye Tamasha kubwa la Kitalii na kiutamaduni La…