TAKUKURU Kagera yarejesha milioni 4.3 za TASAF
Na Renatha Kipaka, Kagera TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Kagera imerejesha kiasi cha shilingi milioni 4.3, fedha ambayo ilipaswa kulipwa kwa wanufaika 139 wa Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini katika kijiji cha Kumtama, Wilaya ya Ngara, Mkoa wa Kagera. Naibu Mkuu wa TAKUKURU mkoani hapo, Ezekia Sinkala, alitoa taarifa hiyo…