Rekodi dabi za Agosti | Mwanaspoti

MECHI ya lawama imefika. Ndio, watani wa jadi wa soka nchini, Simba na Yanga kesho Alhamisi watashuka uwanjani kumalizana katika pambano la Ngao ya Jamii, kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam baada ya wikiendi iliyopita kutesti mitambo katika matamasha ya klabu hizo kongwe yaliyofana. Simba ilifanya tamasha la 16 la Simba Day Jumamosi…

Read More

Ngao ya Jamii 2024 wababe wanakutana

AZAM vs Coastal Union ni mchezo wa nusu fainali ya kwanza ya Ngao ya Jamii utakaochezwa leo Alhamisi kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar kuanzia saa 10:00 jioni. Baada ya kuanza kwa mchezo huo, tutashuhudia Kariakoo Dabi itakayopigwa Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, Yanga ikiikaribisha Simba kuanzia saa 1:00 usiku. Kumbuka Simba…

Read More