Shirika la Umoja wa Mataifa la chakula lasitisha shughuli zake huko Gaza baada ya timu kushambuliwa – Global Issues

“Hili halikubaliki kabisa na ni la hivi punde zaidi katika mfululizo wa matukio ya usalama yasiyo ya lazima ambayo yamehatarisha maisha ya WFPtimu huko Gaza,” alisema Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Umoja wa Mataifa Cindy McCain, akitoa wito kwa mamlaka ya Israel na pande zote kwenye mzozo kuchukua hatua mara moja ili kuhakikisha usalama na…

Read More

ASHINDA KESI ZA MASHAMBA KWA URAHISI YENYE MIGOGORO

Hakuna jambo ambalo linachelewasha maendeleo ya watu kama migogoro ya mashamba na viwanja, mtu anaweza kununua eneo lake sehemu ili ajenge kiwanda lakini mgogoro unaibuka na ule uwekezaji unachelewa. Mimi pia niliwahi kukumbana na jambo ambalo linafanana na hilo, nilinunua shamba ili niweze kufanya kilimo cha kisasa cha nyanya lakini mgogoro ukaibuka hivyo mahakamani ikasimamisha…

Read More

MBUNGE MTATURU ALIA NA USALAMA VIWANJA VYA NDEGE.

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu,akichangia Muswada wa Sheria ya Viwanja vya Ndege Tanzania wa Mwaka 2024 Bungeni jijini Dodoma. ……. MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu amechangia Muswada wa Sheria ya Viwanja vya Ndege Tanzania wa Mwaka 2024 ,huku akigusia mambo mawili ambayo ni vyanzo vya Mapato vya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege(TAA),na usalama…

Read More

WAZIRI JAFO ATETA  NA BALOZI WA UINGEREZA NCHINI TANZANIA

  Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt.Selemani Jafo (Mb) akiwa na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Bw. Sempeho Manongi na Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa Wizara hiyo Bw. Needpeace Wambuya amekutana na kuzungumza na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania Mhe.Balozi Marianne Young  katika 0fisi ya Wizara, jijini Dodoma. Mhe….

Read More