DC Batenga: Tumuenzi Sauli kwa kuendeleza miradi yake

Chunya. Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Mbaraka Batenga amesema njia bora ya kumuenzi aliyekuwa mmiliki wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomon Mwalabila ni kuendeleza miradi yake ili kulinda ajira za vijana. Batenga ametoa kauli hiyo leo Jumatano Agosti 7, 2024 wakati wa maziko ya Mwalabila yaliyofanyika katika makaburi ya kijijini kwao Godima, wilayani Chunya….

Read More

WANAKC,WANAGDSS WATAKIWA KUPAZA SAUTI KUELIMISHA JAMII KUSHIRIKI UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM VITUO vya Taarifa na Maarifa (KC) na wanaGDSS wametakiwa kupaza sauti zao kuhakikisha jamii inapata uelewa mkubwa na kuweza kujitokeza kujiandikisha kwneye daftari la kudumu la wapiga kura ili kuweza kushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Vilevile wametakiwa kutengeneza ajenda ambayo itasukuma jamii kujitokeza kwenye uchaguzi wa Serikali…

Read More

TBS yawafikia wadau wa viwango Morogoro

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) kanda ya Mashariki, limewataka wajasiriamali, wafanyabiasha,wazalishaji na watumiaji wa bidhaa mbalimbali kuzingatia alama ya ubora inayotolewa na shirika hilo ili kuhakikisha watumiaji wantumia bidhaa salama na zenye ubora. Hayo yameelezwa na kaimu meneja wa shirika hilo kanda ya mashariki Franses mapunda kwenye maonyesho ya wakulima ya nane nane kanda ya…

Read More

Simulizi ya mama wa mtoto aliyejeruhiwa Goba na dada wa kazi

Dar es Salaam. Siku 24 tangu Malik Hashim (6) alipojeruhiwa shingoni na kitu chenye ncha kali nyumbani kwao Goba, jijini hapa, ameruhusiwa kutoka hospitalini, huku mama yake mzazi akifunguka kuhusu dada wa kazi anayetuhumiwa kumjeruhi. Timu ya wataalamu 12 ndiyo iliyomtibu Malik katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH). Kati ya siku 24 alizolazwa, siku 13…

Read More

WAFANYAKAZI TANROADS WAFANYA USAFI HOSPITALI YA RUFAA YA DODOMA

WAFANYAKAZI wa Wakala  ya Barabara Tanzania(TANROADS),wakifanya zoezi la usafi katika  Hospitali ya Rufaa ya Dodoma  ikiwa ni sehemu ya ushiriki wa maonesho ya Nanenane Kitaifa yanayoendelea katika viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma.   Fundi Sanifu Mwandamizi wa TANROADS Makao Makuu,Bw.Clement Ndagiwe akizungumza na waandishi wa habari baada ya kumaliza zoezi la kufanya usafi katika barabara zinazozunguka…

Read More

Miili miwili ya watu waliozama Ziwa Victoria yaopolewa

Mwanza. Miili ya watu wawili waliozama maji ndani ya Ziwa Victoria wakati wakitoka Kisiwa cha Yozu kusheherekea ‘Yanga Day’ kuelekea Kitongoji cha Itabagumba, Kata ya Burihaeke wilayani Sengerema imeopolewa. Miili hiyo ni miongoni mwa watu watano waliokuwa wakitafutwa baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria uliokuwa na watu 23 kuzama maji. Hata hivyo, watu 17 waliokolewa wakiwa…

Read More

Dawasa yajipanga kuwadhibiti wasiolipa bili za maji

Dar es Salaam. Ili kukabiliana na changamoto ya madeni ya bili za maji, Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (Dawasa), imejipanga kuwafungia dira za maji za malipo ya kabla wadaiwa, ikieleza mpaka sasa inawadai zaidi ya Sh40 bilioni. Kwa mujibu wa Dawasa, wadaiwa hao wapo katika makundi matatu ambayo ni taasisi…

Read More

TBA YATOA ELIMU YA UJENZI NA MIRADI YA KILIMO KATIKA MAONESHO YA NANENANE DODOMA

MENEJA  wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA),Mkadiriaji Majenzi, Qs. Emanuel Wambura,akizungumza na waandishi wa habari kwenye banda TBA wakati wa Maonesho ya Kitaifa ya Nanenane, yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni,jijini  Dodoma. AFISA Masoko TBA Kristolearachel Msengi akitoa elimu kwa wananchi waliofika kwenye banda la TBA wakati wa Maonesho ya Kitaifa ya Nanenane, yanayoendelea katika Viwanja…

Read More