Wakazi Ngara walia upatikanaji wa vitambulisho vya Nida, maji

Ngara. Wakazi wa Kijiji cha Kumunazi kilichopo Wilaya ya Ngara mkoani Kagera, wameeleza kero ya kutopatiwa vitambulisho vya Taifa vinavyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), jambo linalowakwamisha kupata baadhi ya huduma muhimu. Wakazi hao wameeleza hayo leo Jumatano Agosti 7, 2024 mbele ya Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi…

Read More

TUZO ZA FILAMU KUZINDULIWA RASMI AGOSTI 24 WIZARA YATOA NGUVU

Na.Khadija Seif Michuziblog WASANII wa Bongomuvi kupewa Heshima Kimataifa kupitia Tuzo za Tamthilia zinazotarajiwa kuzinduliwa rasmi Agosti 24,2024 Jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Wanahabari Leo Agosti 07,2024 Meneja wa Kitengo cha Uhakiki kutoka Bodi ya Filamu nchini Boppe Kyungu amesema Serikali kupitia Bodi ya Filamu inazitambua tuzo hizo,ambapo pamoja na mambo mengine amewataka wadau…

Read More

Mikataba 17 ya ujenzi wa barabara yasainiwa Manyara

Babati. Mikataba 17 ya ujenzi wa barabara zinazosimamiwa na Wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini (Tarura) mkoani Manyara, imetiwa saini tayari kwa kuanza ujenzi wake. Hafla ya utiaji saini wa mikataba hiyo imefanyika leo Jumatano Agosti 7, 2024, mjini Babati, ikishuhudiwa na Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga. Mikataba hiyo, yenye thamani ya…

Read More

MWIHAMBI- BUNGE LINA MCHANGO MKUBWA MAENDELEO SEKTA YA KILIMO

KATIBU wa Bunge, Nenelwa Mwihambi amesema bunge lina mchango mkubwa katika maendeleo ya sekta ya kilimo nchini. Hayo aliyasema leo jijini hapa wakati alipotembelea maonyesho ya nanenane katika viwanja vya nzuguni ambapo alisema bajeti inayotumika kwenye shughuli hizo kwa kiasi kikubwa inatokana na bunge. Alisema jukumu kubwa la bunge ni kuishauri serikali na kuisimamia na…

Read More

Kwa Nini Kenya Inachukuliwa Kuwa Hatari Kuu ya Hali ya Hewa kwa Benki za Maendeleo – Masuala ya Ulimwenguni

Mikopo ya Habari: Cecilia Russell na Joyce Chimbi (nairobi) Jumatano, Agosti 07, 2024 Inter Press Service NAIROBI, Agosti 07 (IPS) – Hali ya hewa kali inayohusiana na mabadiliko ya hali ya hewa inahatarisha ajenda ya maendeleo ya Kenya; ijapokuwa inachangia kidogo sana katika ongezeko la joto duniani, imeainishwa kama nchi yenye hatari kubwa na benki…

Read More

TPHPA kununua ndege ya kuangamiza Kweleakwelea

Tabora. Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA), imesema Serikali kupitia Wizara ya Kilimo ipo katika hatua za mwisho za kununua ndege maalumu itakayogharimu zaidi ya Sh6 bilioni kwa ajili ya kumwaga sumu ili kuua kweleakwelea wanaoshambulia mazao. Inaelezwa kuwa hatua hiyo inalenga kupunguza hasara wanazokumbana nazo wakulima kila mwaka kutokana na ndege…

Read More