Sinwar anapaswa kusimamia amani ya Gaza – DW – 07.08.2024

Yahya Sinwar aliteuliwa siku ya Jumanne kuwa kiongozi mkuu wa kisiasa wa kundi la wanamgambo la Hamas. Sinwar anadaiwa kupanga shambulizi la Oktoba 7 lililofanyika Kusini mwa Israel na kuchochea mgogoro unaoendelea kati ya Israel na kundi hilo mjini Gaza. Sinwar amechukua nafasi ya Ismail Haniyeh aliyeuwawa Julai 31 mjini Tehran katika shambulizi linalodaiwa kufanywa…

Read More

Safari kina Mdee kurejea Chadema yaiva

Dar es Salaam. Kuna vuguvugu la chinichini la baadhi ya wabunge wa viti maalumu kati ya 19 waliovuliwa uanachama wa Chadema kurejea ndani ya chama hicho. Vuguvugu hilo ambalo pia linazua mjadala wa pande mbili, liliwekwa wazi Agosti 6, 2024 kupitia kauli ya Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho Zanzibar, Salum Mwalimu kuwa “CCM itamuota…

Read More

Wanasiasa wajadili dhima Ujerumani kwa Mashariki ya Kati – DW – 07.08.2024

Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ya chama cha Waliberali (FDP) Marcus Faber ameelezea mashaka juu ya kuwapeleka wanajeshi wa Ujerumani katika eneo la Mashariki ya Kati. Faber amesema wakati Ujerumani inapaswa kuiunga mkono Israel lakini itatosha kupeleka silaha Israel badala ya kuwapeleka wanajeshi. Mwanasiasa huyo ameeleza kuwa hata hivyo Ujerumani haijaombwa kupeleka askari wake nchini…

Read More

Takwimu ugumba, shinikizo la damu zaishtua Serikali

Dar es Salaam. Takwimu za idadi ya wagonjwa waliopimwa na kukutwa na shinikizo la juu la damu na wanawake wanaohitaji usaidizi wa kupata watoto ‘ugumba’ zimeishtua Serikali ya Tanzania. Takwimu hizo zimeonyesha jumla ya wanawake 3,810 wamejitokeza katika kambi ya madaktari bingwa kwenye hospitali 184 za halmashauri, huku asilimia 34 ya wagonjwa walioonwa walikuwa na…

Read More

Ngao ya Jamii 2024, makipa ndio wataamua

MECHI za msimu huu za Ngao ya Jamii zina msisimko wake kwani timu hizo zinakutana zikiwa na sura mpya, lakini cha kuzingatia ni kwamba zote zinaongozwa na makipa wa kigeni, hivyo wao ndio watakaoamua timu zao ziende fainali ama kucheza mechi za mshindi wa tatu kutokana na rekodi zao. Endelea nayo… Hakuna shaka juu ya…

Read More

Rais wa mpito wa Bangladesh kuapishwa Alhamis ya Agosti 8 – DW – 07.08.2024

Akizungumza na waandishi wa habari kabla ya kuanza safari yake kwenye uwanja wa ndege wa Paris, na kuelekea Dubai ambapo atapanda ndege nyingine kuelekea Dhaka, Yunus amesema anatarajiwa kurejea nyumbani, kushuhudia kile kinachoendelea na kutafakari wanavyoweza kujipanga kwa lengo la kujikwamua na matatizo walionayo. Kukiwa na idadi kubwa wa waandishi wa habari na usalama ulioimarishwa…

Read More

Rekodi za Simba, Yanga Ngao ya Jamii

Mchezo wa Ngao ya Jamii kati ya Simba na Yanga unatarajiwa kuwa na ushindani mkali kutokana na historia na rekodi za timu hizi. Kwa upande wa mashabiki, hii ni fursa ya kuona mchezo wa kuvutia na kila timu itajitahidi kwa nguvu zote kuhakikisha inamzidi mwenzake. Rekodi zinaonyesha, tangu mwaka 2001 zilipoanza kuchezwa mechi za Ngao…

Read More