Kanuni kupitiwa kukilinda Kiwanda cha Mkulazi

Dar es Salaam. Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesema watafanya kila jitihada kuhakikisha wanakilinda Kiwanda cha Sukari cha Mkulazi kitakachozalisha sukari ya viwandani. Bashe amesema Bodi ya Sukari Tanzania imeanza utaratibu wa kupitia kanuni za namna ya kukilinda kiwanda hicho, kitakachowezesha kupunguza tani 50,000 za sukari za viwanda zinazoagizwa kutoka nje ya nchi. Bashe amesema…

Read More

Viwanja vya Kombe la Dunia Saudi Arabia ni kufuru

HIVI karibuni mamlaka za soka za Saudi Arabia ziliachia picha za viwanja 15 ambavyo vimepangwa kujengwa kwa ajili ya kuandaa Kombe la Dunia mwaka 2034 na kwa sasa ndio nchi pekee iliyoomba kuandaa. Picha mbalimbali zilionyesha viwanja bora vya kisasa vinavyoonekana vya kuvutia na kimoja kati ya hivyo kitakuwa kama kijiji. Inaelezwa viwanja vipya vitakavyojengwa…

Read More

WATANZANIA KUANZA KULIPWA FACEBOOK NA INSTAGRAM – MWANAHARAKATI MZALENDO

Kampuni ya META imeijumuisha Tanzania katika program ya malipo kwa watengeneza maudhui mtandaoni kupitia majukwaa yake ya Instagram na Facebook. Kampuni hiyo imetoa masharti kadhaa kwa watengeneza maudhui ili kukidhi kunufaika na programu hiyo ikiwemo kabla ya kuomba kuunganishwa kwenye programu hiyo, mtengeneza maudhui anapaswa kuwa anazingatia sera za mapato kutoka kwa washirika wa Facebook,…

Read More

Uamuzi kesi ya Magoma, Yanga wakwama

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imeshindwa kutoa uamuzi wa shauri la maombi ya marejeo ya uamuzi uliobatilisha Katiba ya Klabu ya Dar es Salaam, Young African Sports, maarufu Yanga ya mwaka 2011. Uamuzi huo ulipangwa kutolewa na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Hakimu Mkazi Mkuu, Frank Kiswaga leo Jumatano,…

Read More

Uamuzi  sakata la uhalali wa katiba ya Yanga wakwama

Mahakama ya Hakimu Mkazi, Dar es Salaam, Kisutu imeshindwa kutoa uamuzi wa shauri la maombi ya marejeo ya uamuzi uliobatilisha Katiba ya Klabu ya Dar es Salaam, Young African Sports,  maarufu kama Yanga, ya mwaka 2011. Uamuzi huo ulipangwa kutolewa na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Hakimu Mkazi Mkuu, Frank Kiswaga leo Jumatano, Agosti 7,…

Read More

Kesi ya unyang’anyi inayowakabili waliokuwa askari polisi yakwama Kisutu

Dar es Salaam. Serikali imeshindwa kuendelea na usikilizwaji katika kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha na kuiba Sh90 milioni inayowakabili watu watano wakiwamo waliokuwa askari polisi, kutokana na mshtakiwa mmoja kutokuwepo mahakamani. Kesi hiyo imeshindwa kuendelea kutokana na mshtakiwa wa tatu, Stella Mashaka kutoletwa mahakamani akitokea mahabusu Segerea, jijini Dar es Salaam. Washtakiwa katika kesi…

Read More

Ngao ya jamii 2024, huku moto kule balaa

COASTAL Union itakuwa timu mwenyeji kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar kuanzia saa 10:00 jioni. Timu hiyo iliyo chini ya kocha David Ouma inatarajia kushuka kwenye dimba hilo ikiwa na kumbukum-bu mbaya ya kupata kichapo cha mabao 3-0 kwenye mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu Bara uliochezwa jijini…

Read More

EWURA CCC YATUMIA MAONESHO YA WAKULIMA KUELIMISHA WANANCHI MATUMIZI SAHIHI YA GESI

Na MwandishiWetu, Dodoma Maonesho ya Wakulima(Nanenane)yakiwa yanaendelea Jijini hapa, Baraza la Ushauri la watumiaji wa huduma za Nishati na Maji (EWURA CCC) limeendelea kutimiza wajibu wake kwa kuwaelimisha wananchi namna ya matumizi sahihi ya gesi. Hatua hii itawasaidia Wananchi kufahamu jinsi ya kutumia gesi kwa usalama ikiwa ni pamoja na kuelewa jinsi ya kuunganishwa kwa…

Read More