TPA kunadi bandari za Tanga, Mtwara, Kigoma kimataifa
Dar es Salaam. Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imejipanga kuzitangaza kimataifa bandari nyingine zilizopo maeneo tofauti na ile ya Dar es Salaam ili ziweze kuhudumia nchi mbalimbali zinazopitisha mizigo yake Tanzania. TPA inapanga kuzinadi bandari hizo kupitia mkutano wa Global Logistic Convention 2024 unaotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam kati ya Agosti 14…