Onana kukipiga Ligi daraja la kwanza Qatar

WINGA wa Simba, Willy Onana licha ya kulamba mkwanja mrefu akijiunga na Muaither SC ya Qatar msimu ujao, atacheza Ligi Daraja la Kwanza baada ya timu hiyo kushuka daraja. Inaelezwa kuwa, Onana ameuzwa na Simba kwa dau la Dola 100,000 (zaidi ya Sh 250 Milioni), huku yeye akilamba Dola 150,000 (zaidi ya Sh 300 milioni)…

Read More

Aliyemzushia kifo binti aliyebakwa adakwa

  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata na linamuhoji Amos Lutakulemberwa Lwizamiaka 54 mkazi wa Tegeta Wazo Kinondoni kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo kwenye mitandao ya kijamii kuwa binti anayedaiwa kubakwa na kulawitiwa na vijana wanadaiwa kutumwa na afande, amefariki. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Hayo…

Read More

Ndoto ya barabara Makonde – Mawengi imetimia

Njombe. Wakazi  zaidi ya 5,000 wa vijiji vinne vya kata za Makonde na Mawengi wilayani Ludewa, Mkoa wa Njombe, wameondokana na changamoto ya kutegemea usafiri wa majini baada ya kujengewa barabara tangu uhuru upatikane nchini. Barabara hiyo itawasaidia wakazi hao kupata huduma muhimu kwenye maeneo mbalimbali ya wilaya na mikoa jirani. Awali, wakazi hao walitegemea…

Read More

Usajili wa televisheni za mtandaoni wapungua

  Ripoti ya robo mwaka ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema idadi ya televisheni za mtandaoni nchini imepungua kutoka 231 hadi 215. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Kwa mujibu wa ripoti hiyo, wamiliki wa leseni za televisheni za mtandaoni zimepungua kwa asilimia 7.4. Upungufu huo umeshuhudiwa kati ya mwezi Machi hadi…

Read More

SERIKALI IMEOMBWA KUSIMAMIA UTOAJI MIKOPO YA HALMASHAURI

  Afisa Msimamizi Mkuu wa Fedha, Idara ya Uendelezaji wa Sekta ya Fedha, Wizara ya Fedha Bw. Salim Kimaro, akimkabidhi Afisa Maendeleo ya Jamii na Mratibu wa Vikundi vya Huduma Ndogo za Fedha Wilaya ya Liwale, Bw. Obadia Anania, flash ya filamu yenye mada mbalimbali ikiwemo mikopo, akiba, uwekezaji walizofundishwa wananchi wa Wilaya ya Liwale…

Read More

Walioshona bendera za Urusi wadakwa Nigeria

NIGERIA imewashikilia baadhi ya mafundi cherehani kwa kutengeneza bendera za Urusi ambazo zilipeperushwa wakati wa maandamano ya kuipinga serikali wiki hii katika majimbo ya kaskazini mwa nchi hiyo. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea). Idara ya Huduma za Serikali ya Nigeria (DSS) pia ilisema kwenye chapisho kwenye mtandao wa X kwamba imewaweka kizuizini baadhi ya wafadhili…

Read More