Cheza sloti ya God Of Coins uwe milionea

  KUHUSU kuongeza Pesa zako kwetu ni jumumu letu, cha kufanya sogea pale Meridianbet kasino, kisha cheza michezo ya kasino ya mtandaoni ukiwemo mchezo huu wa God of Coins. Kama bado hujajisajili Jisajili hapa na upewe bonasi ya ukaribisho hadi 300% Meridianbet kasino ya mtandaoni ni moja ya chimbo la madini ya pesa na kila…

Read More

Heroes Queens yabeba watatu Ligi Kuu

TIMU mpya ya New Heroes Queens inayotarajiwa kucheza Ligi Kuu ya Wanawake Bara (WPL) msimu ujao ipo katika hatua za mwisho kumalizana na Juma Pondamali ili akawe kocha wa makipa. Awali, Yanga Princess ilikuwa timu ya kwanza kumfuata kocha huyo aliyewahi kucheza Yanga na kuifundishia  makipa, lakini ni kama dili limegeuka. Diana Mnally Chanzo cha…

Read More

Polisi Uingereza iko tayari kukabiliana na vurugu – DW – 07.08.2024

Serikali ya Uingereza imesema takriban polisi 6,000 wa kupambana na fujo wamewekwa tayari kukabiliana na vurugu ambazo hazijawahi kushuhudiwa nchini humo ndani ya muongo mmoja uliyopita. Mamia ya watu wamekamatwa huku wengine zaidi ya 100 wakishitakiwa. Kulingana na ujumbe ulioonekana katika ukurasa wa Telegram, makundi ya mrengo mkali wa kulia yamepanga maandamano katika maeneo takriban…

Read More

Samia apongezwa kukikwamua Kiwanda cha Sukari Mkulazi

Dar es Salaam. Uongozi wa Kampuni ya Hodhi ya Mkulazi (MHCL) imemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wake wa kuukwamua mradi wa Kiwanda cha Sukari cha Mkulazi uliokwama kwa sababu mbalimbali. Hayo yamesemwa leo Jumatano Agosti 7, 2024 na Mwenyekiti wa Bodi Wakurugenzi ya MHCL, Dk Hildelitha Msita, wakati akitoa salamu za kampuni mbele…

Read More