IAA CHASHIRIKI MAONESHO YA NANE NANE THEMI NJIRO ARUSHA

CHUO Cha Uhasibu Arusha IAA kinashiriki Maonesho ya Nane Nane mwaka 2024 katika Kanda ya Kaskazini katika Viwanja Vya Themi Njiro Jijini Arusha, Kanda ya Kati Viwanja vya Nzunguni Jijini Dodoma na Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Viwanja Vya John Mwakangale Jijini Mbeya. Wananchi wanaalikwa kutembelea mabanda ya IAA katika Kanda zote tatu ili…

Read More

Dabo aonya mastaa Azam, aitamani fainali ya Ngao

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Youssouph Dabo amewatahadharisha wachezaji wa kikosi hicho wakati wakijiandaa na mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii dhidi ya Coastal Union kesho, utakaopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan Complex visiwani Zanzibar. Timu hizo zitakutana katika mchezo huo wa utangulizi utakaopigwa saa 10:00 jioni, kisha baadae kupigwa nusu fainali ya…

Read More

Waandamanaji wasubiri kuundwa serikali ya mpito Bangladesh – DW – 07.08.2024

Jioni ya Jumanne, Rais wa Bangladesh alimteua Yunus, ambaye alipendekezwa na viongozi wa wanafunzi waandamanaji kama mkuu wa serikali ya mpito na kusema washiriki wengine muhimu waliosalia wanapaswa kukamilishwa hivi karibuni kuondokana na mgogoro uliopo ili kuanza mchakato kuelekea uchaguzi wa taifa hilo. Serikali ya mpito itaziba ombwe la uongozi lililopo baada ya Mkuu wa…

Read More

Matampi, Coastal ngoma bado mbichi

SAKATA la kipa Mkongomani, Ley Matampi na Coastal Union, limeendelea kuchukua sura mpya baada ya nyota huyo hadi sasa kutojiunga na kikosi hicho kilichopo visiwani Zanzibar. Akizungumza na Mwanaspoti, Ofisa Habari na Mawasiliano wa Coastal Union, Abbas Elsabri amesema, Matampi anaweza kukosekana katika mchezo wa kesho wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii, dhidi ya…

Read More

Bei mafuta ya petrol, dizeli yapaa Agosti

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini (EWURA), imetangaza bei mpya za mafuta ya petrol na dizeli ya rejareja ambazo zinaonesha kupanda katika mikoa inayochukua mafuta hayo kwenye bandari ya Dar es Salaam, Tanga na Mtwara. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …  (endelea) Kwa mujibu wa EWURA, bei za bidhaa hiyo…

Read More

Gamondi, Fadlu wapigana mkwara | Mwanaspoti

MAKOCHA wa Yanga na Simba, Miguel Gamond na Fadlu Davids ni kama wamenyoosha upanga juu ishara ya kuwa tayari  kwa vita ya Ngao ya Jamii hapo kesho Alhamisi kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa  kwa kila mmoja kueleza alivyojipanga kukabiliana na mwenzake katika mchezo huo wa Dabi ya Kariakoo. Hii itakuwa mara ya kwanza kwa makocha…

Read More

MAAFISA UGANI WANAHITAJI MAFUNZO YA MARA KWA MARA KUHUSU TEKNOLOJIA NA MBINU ZA KISASA ZA KILIMO ZINAZOZALISHWA.

  Na: Amina Hezron – Dodoma. Imeshauriwa kuwa uwekezaji katika sekta ya kilimo ujikite zaidi katika kuangalia namna ya kuboresha mbinu mbalimbali za ugani na teknolojia za kisasa ili kuwasaidia maafisa ugani kufikisha taarifa bora na za kisasa kwa wakulima vizuri na kuinua tija. Ushauri huoumetolewa leo jijini Dodoma na Mwenyekiti wa Chama cha Wagani…

Read More