Ouma apigia saluti Azam FC

KOCHA Mkuu wa Coastal Union Mkenya, David Ouma amesema anaiheshimu Azam FC kutokana na ubora wa wachezaji ilionao, huku akitoa tahadhari kwa nyota wa kikosi hicho. Ouma amezungumza hayo wakati timu hizo zikitarajia kupambana kesho katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii utakaopigwa saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa New Amaan…

Read More

MBINU MPYA ZA GAMOND WAPINZANI WAHAHA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Katika mkutano wa waandishi wa habari mapema lao, kocha mkuu Miguel Gamondi alionyesha matumaini makubwa kuhusu msimu ujao, akisisitiza umuhimu wa kuzingatia sasa na siku zijazo badala ya matokeo ya zamani. “Yaliyopita yamepita, sipendelei kufuatilia sana yaliyopita,” alisema Gamondi, akithibitisha mkakati wake wa kujikita kwenye maandalizi ya sasa. Gamondi alikiri kuwa mazingira ya ushindani yamebadilika,…

Read More

SURA MPYA…Safari hii mtaipenda Ngao ya Jamii 2024

WAKATI kesho ikiwa ni sikukuu ya wakulima nchini maarufu ‘Nanenane’, kutakuwa pia na burudani ya soka ambapo itapigwa michezo miwili ya nusu fainali ya Kombe la Ngao ya Jamii, kuashiria ufunguzi wa Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2024-2025. Mchezo wa mapema saa 10:00 jioni utapigwa kwenye Uwanja wa New Amaan visiwani Zanzibar ambako Azam FC…

Read More

Maandamano yanavyotumika kama silaha ya mabadiliko

Mataifa mbalimbali katika bara la Afrika na kwingineko duniani, yanashuhudia maandamano ya wananchi wanaoshinikiza mambo tofauti wanayotaka serikali katika mataifa yao ziyafanye kwa ajili yao. Licha ya madhara yanayojitokeza, maandamano hayo yamekuwa yakisababisha mabadiliko katika mfumo wa maisha yao, ikiwemo mabadiliko ya sheria au uamuzi wa viongozi ambao tunazingatia matakwa ya wananchi wanaoandamana. Mafanikio ya…

Read More

UBALOZI WA TANZANIA UINGEREZA WATOA TAHADHARI KWA WATANZANIA WANAOISHI NCHINI UINGEREZA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Uingereza umetoa tahadhari kwa Watanzania wote wanaoishi nchini humo kufuatia vurugu zinazoendelea katika maeneo mbalimbali. Katika tangazo lililotolewa na ubalozi huo, Watanzania wamehimizwa kuchukua tahadhari na kufuata maelekezo ili kujiepusha na hatari inayoweza kujitokeza kutokana na vurugu hizo. Tangazo hilo limeeleza kuwa ubalozi uko tayari kusaidia endapo…

Read More

TATHMINI YA DAWASA KATIKA UZALISHAJI MAJI SAFI KWA DAR ES SALAAM NA MIKOA MINGINE – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mhandisi Mkama Bwire, Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), ameeleza mafanikio na changamoto zinazokabili mamlaka hiyo katika uzalishaji wa maji safi kwa jiji la Dar es Salaam na mikoa mingine inayohudumiwa. Akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari leo, Jumatano Agosti 07, 2024, katika…

Read More

Tovuti za Halmashauri kuboreshwa kuendana na mabadiliko

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikali Bi. Nteghenjwa Hosseah amewatembelea wataalam wa Habari na Teknolojia ya habari kutoka Ofisi ya Rais – TAMISEMI na Mradi wa Uboreshaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3+ – USAID) walioko mkoani Morogoro kwa ajili ya uboreshaji wa mfumo wa GWF unaosimamia Tovuti ya Ofisi ya Rais TAMiSEMi, Sekretarieti…

Read More