Sababu, faida bei ya Dhahabu kuvunja rekodi ya muda wote

Kuadimika kwa Dola za Marekani na kuwapo kwa uchaguzi nchini humo vimetajwa kuwa sababu za ongezeko ya bei ya dhahabu duniani hadi kufikia kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa. Tovuti ya Trading Economy Jumatano wiki hii ilionyesha kuwa wakia moja ilinunuliwa kwa Dola za Marekani 2,523 (Sh6.85 milioni), kiasi ambacho hakijawahi kufikiwa tangu mwaka 1970 mauzo ya…

Read More

Wandewa wanaingia, Yanga | Mwanaspoti

“EEEH! Wandewa wanaingia … Ooh wenye mji wamevamia.” Hiyo ni mistari iliyopo katika ngoma moja matata ya Achii aliyoimba Diamond Platinumz akimshirikisha Koffi Olomide. Baada ya kushuhudiwa mechi 10 za Ligi Kuu Bara, leo zinapigwa mechi mbili ikiwamo ile itakayokutanisha watetezi, Yanga dhidi ya Kagera Sugar mjini Bukoba ma mapema KMC itakuwa wenyeji wa Coastal…

Read More

Simba yarudi njia kuu, Ahoua mdogomdogo

SIMBA ipo kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kushinda mechi mbili za awali kwa kishindo na kuvuna pointi sita na mabao saba, na kufanya mashabiki wa timu hiyo kutamba “Chama ndo limerudi njia kuu?” Simba ilianza kwa kuishindilia Tabora United kwa mabao 3-0 kisha kuizima Fountain Gate kwa mabao 4-0 na kukaa…

Read More

Wanafunzi wa Bangladesh, Jumuiya Inasonga Kulinda Walio Wachache Kufuatia Kuanguka kwa Serikali ya Hasina – Masuala ya Ulimwenguni

Wanafunzi na vikundi vya vijana nchini Bangladesh hulinda nje ya mahekalu na makanisa ili kulinda wale dhidi ya uharibifu wakati wa machafuko baada ya kuondolewa kwa serikali ya Awami League. Credit: Rafiqul Islam/IPS na Rafiqul Islam (dhaka) Jumatano, Agosti 28, 2024 Inter Press Service DHAKA, Agosti 28 (IPS) – Mara tu baada ya kuanguka kwa…

Read More