SAFIRIA UTAAJIRI NA SLOTI YA PINATA LOCA KASINO!!

  BARA la Amerika ya Kusini lina nchi nyingi, kuna Brazil, Argentina ya Messi, Uruguay, Chile lakini kuna nchi moja inaitwa Mexico ina balaa sana. Balaa la nchi hiyo sio tu kwenye Biashara kama wengi wanavyoifahamu, lakini aina ya watu wanaoishi huku kama yule jamaa maarufu Pablo Escoba na wengine, kuna utamaduni wao mzuri tu….

Read More

EPZA YAHAMASISHA WAWEKEZAJI WANDANI KUTUMIA FURSA WALIZONAZO

  Na; HUGHES DUGILO, DODOMA Serikali kupitia Mamlaka ya Uwekezaji EPZA imeendeleza jitihada zake za kuhakikisha wawekezaji wazawa wanapata fursa ya kuzalisha bidhaa zinazokidhi soko la nje ili kuiongezea nchi pesa za kigeni. Hayo yameelezwa na Kaimu Meneja wa uhamasishaji wa EPZA BI. Nakadongo Phares, alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari kwenye Maonesho ya Kimataifa…

Read More

Suala la Wenje, Lissu ‘kutikisa’ Kamati Kuu Chadema

Dar/mikoani. Ni kikao cha moto. Hivi ndivyo unaweza kuelezea kile kinachotarajiwa kutokea katika kikao cha Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kitakachoketi kwa siku mbili jijini Dar es Salaam. Kamati kuu hiyo chini ya Mwenyekiti Freeman Mbowe inakutana kuanzia Alhamisi, Agosti 8 hadi 9, 2024 ikitarajiwa mambo kadhaa yataibuka. Katika taarifa kwa umma…

Read More

Dk Nchimbi akomalia fidia ya Sh1.4 bilioni waliopisha mradi

Kibondo. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amemtaka Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa kuhakikisha wanalipa fidia ya Sh1.4 bilioni kwa wananchi waliopisha mradi wa ujenzi wa Barabara ya Kibondo – Mabamba. Dk Nchimbi amebainisha hayo leo Agosti 6, 2024 katika Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara, akihitimisha…

Read More