Susu: Mashabiki wa Simba sio bahili

Mwanadada shabiki wa mpira na mwanamitindo, Subira Wahure maarufu kama Susu Kollexion, ambaye mara nyingi huwa anawashangaza watu baada ya kuonekana akiwa amevalia jezi za Simba na Yanga, amesema anaamini kwamba mashabiki wa  Jangwani ni bahili kuliko wale wa Msimbazi. Susu ameweka wazi kuwa hana timu ingawa alishiriki matukio yote ya siku za klabu hizo…

Read More

Dodoma watembelea miradi ya gesi asilia kwa teknolojia ya uhalisia pepe

MAONYESHO ya Kimataifa ya Nanenane yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma yamekuwa ni sehemu ya wananchi kujionea utekelezaji wa miradi mbalimbali katika sekta ya nishati ikiwemo miradi ya gesi asilia na mafuta. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Katika Banda la Wizara ya Nishati wananchi wameonesha kuvutiwa na teknolojia ya uhalisia pepe (Virtual reality)…

Read More

Kauli za kisiasa zilivyotawala maziko ya mama yake Mdee

Moshi. Wakati Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Fredrick Shoo akisema hafurahishwi na jina la Covid-19 walilopewa Halima Mdee na wenzake 18, vyama vya CCM na Chadema, wameonesha dhamira ya kumhitaji Halima kisiasa.  Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amekoleza mvutano huo wa kisiasa pale aliposema Halima…

Read More

Wakili wa Serikali Akataa Kesi Kuahirishwa

-Asema ni Ujanja Wa wakili Wa Utetezi kupoteza Muda UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya kujeruhi inayowakabili wanandoa Bharat Nathwan (57) na Sangita Bharat (54) wamekataa kuahirishwa kesi kwa madai kuwa wakili wa utetezi anataka kuchelewesha kesi hiyo kwa kudai kuwa anashida ya kiafya. Aidha, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imeomba pande…

Read More

Viongozi wa G20 Lazima Wasikilize Watu Wao na Wakubali Kutoza Ushuru wa Matajiri – Masuala ya Ulimwenguni.

Kwa mara ya kwanza katika miaka 25, tumeona utajiri uliokithiri na umaskini uliokithiri ukiongezeka kwa wakati mmoja. Watu watano matajiri zaidi duniani wameongeza utajiri wao maradufu tangu 2020 huku watu bilioni tano wakifanywa maskini zaidi. Credit: Lova Rabary-Rakontondravony/IPS Maoni na Amitabh Behar (delhi mpya) Jumanne, Agosti 06, 2024 Inter Press Service NEW DELHI, Agosti 06…

Read More

Shambulizi la Israel laua wapiganaji wa Hezbollah – DW – 06.08.2024

Taarifa iliyotolewa na wizara ya afya ya Lebanon imeeleza kuwa mashambulizi ya Israel yamefanyika Jumanne na shughuli ya kuondoa kifusi kuwatafuta waathirika zaidi zinaendelea. Duru za usalama za Lebanon zimeeleza kuwa katika tukio jengine, mtoto mmoja amejeruhiwa kwa shambulizi la kombora la Israel kwenye eneo la Al-Wazzani, kusini mwa Lebanon. Jeshi la Israel limesema kikosi chake…

Read More

Wanachama Chadema wafunguka Wenje kutaka nafasi ya Lissu

Mikoani. Baadhi ya wanachama na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wametoa maoni mseto kufuatia tamko la Ezekia Wenje aliyetangaza nia ya kuwania nafasi ya makamu mwenyekiti wa chama hicho bara. Wenje ambaye ni mwenyekiti wa Kanda ya Victoria Chadema, ametangaza kuwania nafasi hiyo inayoshikiliwa na Tundu Lissu jana Jumatatu Agosti 5, 2024…

Read More

Dar City balaa, inatupia tu BDL

WAKATI Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) upandae wa wanaume ikiendelea, imeonyesha timu ya Dar City inaongoza kwa kufunga ponti 1786. Pointi hizo zimepatikana kutokana na michezo 21 iliyochezwa ikifuatiwa DB Oratory iliyofunga 1387, Vijana ‘City Bulls’ (1372), Savio  (1357), Mchenga Star (1343), UDSM Outsiders (1231), Srelio (1231) na Pazi (1205). Zingine…

Read More

WAKANDARASI WAZAWA KUPEWA KIPAUMBELE MIRADI YA UKUZAJI UCHUMI – MWANAHARAKATI MZALENDO

    Naibu Waziri wa Ujenzi Mhandisi Godfrey Kasekenya, amesema Serikali imedhamiria kuendelea kushirikiana na Wakandarasi Wazawa kwenye Miradi mbalimbali ya Ujenzi hususani ile inayolenga Maendeleo na ukuaji wa Uchumi dhamira ikiwa ni Kuijenga Tanzania kupitia miradi ya Kimkakati.       Mhandisi Kasekenya ametoa kauli hiyo leo Agosti 06, 2024 Jijini Dar es Salaam…

Read More