Mpinzani mkuu wa Hasina aachiliwa huru Bangladesh – DW – 06.08.2024

Hatua hiyo ni mfululizo wa matukio yanayoendelea baada ya Waziri Mkuu Sheikh Hasina kujiuzulu na kukimbilia uhamishoni kutokana na maandamano yaliyodumu kwa karibu mwezi mmoja. Begum Khaleda Zia, mwenyekiti wa Chama cha BNP ambaye amekuwa mpinzani mkuu wa Sheikh Hasina kwa miongo kadhaa, amewekwa huru kutoka katika kifungo cha nyumbani alichokuwa akikitumikia. Awali, Zia alihukumiwa…

Read More

Aliyetafuta hifadhi ya kuishi Tanzania atupwa jela

Dar es Salaam. Raia wa Nigeria, Ezeaka Oluchukwu (50) amehukumiwa kulipa faini ya Sh500,000 au kutumikia kifungo cha mwaka mmoja jela, baada ya kupatikana na hatia ya kuishi nchini Tanzania bila kuwa na kibali. Oluchukwu amehukumiwa kifungo hicho, leo Jumanne Agosti 6, 2024, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam baada ya kukiri…

Read More

TBS YAENDELEA KUTOA ELIMU KWENYE MAONESHO NANENANE MBEYA

Na Mwandishi Wetu, Mbeya Maofisa wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) wametembelea na kutoa elimu kwa wajasiriamali wanaoshiriki Maonesho ya Wakulima Nanenane yanayofanyika kwenye Viwanja vya John Mwakangale mkoani Mbeya na kuwapatia elimu ili waweze kufika TBS kupata alama ya ubora. Aidha, Shirika hilo limetumia maonesho hayo kutoa elimu ya masuala ya viwango kwa wananchi…

Read More

Eagles wajipange upya Mwanza | Mwanaspoti

MABINGWA watetezi wa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mwanza (Marba), Eagles imeanza vibaya katika kampeni ya kutetea ubingwa baada ya kufungwa na Profile kwa pointi 81-72. Mchezo huo uliokuwa wa ufunguzi ulichezwa katika Uwanja wa Mirongo uliopo mjini humo Akizungumzia mchezo huo na Mwanasposti, kocha wa kikapu, Benson Nyasebwa alisema  timu nane ndizo zitakazoshiriki michuano…

Read More

WADAU WA UJENZI WASHAURIWA KUTUMIA MAABARA ZA TARURA

Na Mwandishi Wetu, Dodoma. Wadau wa ujenzi wa miundombinu ikiwemo barabara, madaraja, makalavati na majengo nchini wameshauriwa kutumia Maabara za TARURA ambazo zipo katika MIKOA 11 nchini ili kujenga miundombinu yenye ubora Rai hiyo imetolewa na Fundi Sanifu Mkuu wa Maabara ya TARURA Bw. Jacob Manguye wakati akitoa elimu kwa wananchi waliofika katika Banda la…

Read More

Aragija kuziamua Azam, Coastal, Sasii atajwa Simba, Yanga

BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), imemtangaza Ahmed Aragija kutoka Manyara kuwa mwamuzi wa kati wa mchezo wa Ngao ya Jamii utakaozikutanisha Azam FC na Coastal Union utakaopigwa, keshokutwa, Alhamisi. Wakati huohuo chanzo cha kuaminika kimeiambia Mwanaspoti kuwa licha ya waamuzi watakaochezesha mechi kati ya Simba na Yanga kutowekwa wazi, lakini Elly Sasii ndiye atakuwa…

Read More

UWT WATOA TAMKO TUKIO LA BINTI KUFANYIWA UKATILI, UDHALILISHAJI – MWANAHARAKATI MZALENDO

    Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) imelaani vikali kitendo cha ukatili wa kijinsia kilichoripitiwa kumhusu msichana mmoja mkazi wa Dar es Salaam, Wilaya ya Temeke katika Kata ya Makangarawe anayedaiwa kufanyiwa ukatili wa kijinsia baada ya picha zake kusambaa mitandaoni akifanyiwa vitendo vya kidhalilishaji na takribani vijana watano.     Taarifa iliyotolewa…

Read More

TAMISEMI YAZINDUA MPANGO MKAKATI WA TAKIMWU

Na Angela Msimbira, OR-TAMISEMI OFISI ya Rais Tawala za Mkoa na Serikali za Mitaa imezindua Mpango Mkakati wa Takwimu na utekelezaji wake ambao umelenga kuwezesha upatikanaji, ufikiaji na matumizi ya takwimu katika ngazi ya mamlaka za serikali za mitaa. Akizungumza wakati wa kuzindua mkakati huo, Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Adolf Ndunguru amesema matumizi hafifu…

Read More