TUKIO LA UBAKAJI WAZIRI MASAUNI AJIUZULU MARA MOJA – ACT WAZALENDO – MWANAHARAKATI MZALENDO

    Taarifa iliyotolewa na chama cha ACT Wazalendo inasema ” ACT WAZALENDO inalaani vikali tukio la ubakaji lililofanywa na vijana watano huku wakichukua picha za video na kutuma kwenye mitandao ya kijamii”     Taarifa zilizosambaa mitandaoni kuanzia Agosti 2, 2024 ziliwaonesha vijana hao wakimwingilia binti huyo kwa kupishana na kinyume na maumbile. Matukio…

Read More

WANANCHI WANAOOMBA KUUNGANISHIWA MAJI WAUNGANISHIWE NDANI YA SIKU SABA – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Waziri wa Maji Jumaa Aweso ametembelea banda la sekta ya maji mkoa wa Morogoro na kuzungumza na watumishi wa sekta hiyo katika maonesho ya nanenane kanda ya Mashariki yanayofanyika Morogoro.     Akizungumza na watumishi hao Waziri Aweso ametoa maagizo kwa sekta hiyo kuhakikisha wanawaunganishia wananchi wanaomba kupatiwa huduma ya maji kuunganishiwa ndani ya…

Read More

Dk Mwinyi: Tutadhibiti Zanzibar kuwa dampo la bidhaa chakavu

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amesema Serikali itaendelea kufanya juhudi na kuchukua hatua za makusudi kuhakikisha nchi na wananchi wanakuwa salama, badala ya kuendelea kuwa dampo la bidhaa zisizokuwa na ubora. Dk Mwinyi ametoa kauli hiyo leo Jumanne Agosti 6, 2024 alipofungua kituo cha ukaguzi wa vyombo vya moto katika Taasisi ya Viwango…

Read More

Kibu Denis aandaliwa programu maalum Simba SC

Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids, amesema kuwa mshambuliaji Kibu Denis bado hajafikia katika ubora anaouhitaji hivyo amemuandalia programu maalum ya mazoezi. Davids amefunguka hayo siku chache baada ya kumchezesha mchezaji huyo dakika chache kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya APR timu hiyo ikiibuka na ushindi wa mabao 2-0. Alisema Kibu ni mchezaji…

Read More

Bandari ya Tanga mshirikiane na Shirika la Reli la Tanzania (TRC) katika Usafirishaji wa bidhaa -RC Kunenge

MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge ameishauri Menejimenti ya Bandari ya Tanga kushirikiana na Shirika la Reli la Tanzania (TRC) katika Usafirishaji wa bidhaa ili kutanua wigo wake katika kutoa huduma kwa wateja. Mh Kunenge ameyasema hayo wakati alipotembelea banda la Bandari ya Tanga ndani ya Maonesho ya Kimataifa ya Wakulima Nanenane Kanda ya…

Read More

Rais Samia aacha alama ya kipekee Morogoro

  RAIS Samia Suluhu Hassan amehitimisha ziara yake ya siku sita mkoani Morogoro huku akiacha alama kubwa kwa uzinduzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo na timu ya wanasheria waliosaidia kutoa msaada wa sheria bure kwa maelfu ya wananchi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro … (endelea). Wananchi wengi walifurahia msaada wa kisheria walioupata kutoka kwa wanasheria wa…

Read More

EQUITY, PASS NA MCODE KUKUZA MNYORORO WA THAMANI KATIKA KILIMO

  WAKULIMA nchini wameshauriwa kuchangamkia fursa mbalimbali zinazotolewa na taasisi za kilimo pamoja na kibenki zinazolenga kuwawezesha kukuza mnyororo wa thamani katika sekta na hatimae kuchangia pato la taifa. Haya yameelezwa mkoani dodoma katika maonesho ya kilimo na ufugaji maarufu nane nane na wadau wa fedha na kilimo wakati naibu waziri wa kilimo Davis Silinde akishuhudia…

Read More