Kazi, mapenzi katika safari ndefu ya Rihanna na Drake

Mwaka 2005, Toronto, Canada wakati Drake, 37, akifanya kazi ya kucheza muziki wa asili katika moja ya migahawa ya jiji hilo la nyumbani kwao, anatambulishwa kwa Rihanna, 36, mwanamuziki wa Pop aliyeanza kutikisa dunia. Rihanna alivutiwa na kijana huyo na kusema kweli mambo yalienda kasi, haikuchukua muda Drake akaonekana katika video ya wimbo wa Rihanna,…

Read More

Polisi wahoji maswali 2 watuhumiwa ubakaji wakidakwa

  WAKATI Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni akithibitisha kukamatwa kwa watuhumiwa wa ubakaji na ulawiti wa msichana anayedaiwa mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam, Jeshi la Polisi limeitaka jamii kutoendelea kumtonesha binti huyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Licha ya kwamba Masauni hakufafanua kwa kina kuhusu…

Read More

JB ATANGAZA FURSA KWA WAIGIZAJI 85 – MWANAHARAKATI MZALENDO

#FURSA Mwigizaji mahiri wa Filamu nchini Jacob Steven (@jb_jerusalemfilms ) kupitia Kampuni yake ya Jerusalem Pictures ametangaza nafasi 85 za Waigizaji wapya katika Kampuni hiyo, ambao watapatikana kwa kufanyiwa usaili, tarehe07, August, 2025 eneo la Rungwe Hotel Afrikana Dar es Salaam. Nafasi kwa Wanaume ni 25, Wanawake 40, Wazee 20, kwa wenye Umri Miaka 18…

Read More

Cheza sloti ya Pinata Loca uwe tajiri

  BARA la Amerika ya Kusini lina nchi nyingi, kuna Brazil, Argentina ya Messi, Uruguay, Chile lakini kuna nchi moja inaitwa Mexico ina balaa sana. Balaa la nchi hiyo sio tu kwenye Biashara kama wengi wanavyoifahamu, lakini aina ya watu wanaoishi huku kama yule jamaa maarufu Pablo Escoba na wengine, kuna utamaduni wao mzuri tu….

Read More

CHINO: Glovu za pilipili zilivunja pambano

WANASEMA kichaa anachekesha akiwa hatoki kwako. Usemi huu umemkumba mmoja wa mabondia wakali wa ngumi za kulipwa, Said Mohamad ‘Said Chino’. Unajua kwa nini? Ni kwa sababu baada ya kupoteza pambano la mwisho dhidi ya Ibrahim Class wapinzani wake walimbeza kwa kuchukua vipande vya video vya pambano lake hilo kwamba alipigwa kama begi la mazoezi…

Read More

TPA yawavutia wengi maonesho nanenane Dodoma

  MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesema inayachukulia maonesho ya wakulima maarufu kama ‘Nane nane’ kwa uzito wa kipekee kwani mbali ya kutoa fursa kwa wakulima, wafugaji, wavuvi na watanzania kujua maendeleo ya sekta ya bandari pia kuzitangaza huduma zitolewazo na mamlaka hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Akizungumza na wageni mbalimbali…

Read More

Watano wahofiwa kufa maji wakitoka ‘Siku ya Mwananchi’

Buchosa.Watu watano wamehofiwa kufa maji baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafirua  kuzama ndani ya ziwa Victoria walikuwa wakitoka kisiwa cha Yozu kilichopo Kata ya Bulyaheke Wilayani Sengerema Mkoa wa Mwanza walipokwenda kwenye kilele cha Yanga day. Mkuu wa wilaya ya Sengerema Senyi Ngaga amethibitisha kutokea kwa tukio ambalo limetokea usiku Agost 5 ,2024   majira ya…

Read More

Huku kukiwa na ripoti za utesaji ndani ya magereza, wataalam wa haki wanatoa wito kukomeshwa kwa kutokujali – Masuala ya Ulimwenguni

“Unyanyasaji mkubwa na wa kimfumo wa Israel kwa Wapalestina katika kuwekwa kizuizini na kukamatwa kiholela mazoea kwa miongo kadhaa, pamoja na kutokuwepo kwa vizuizi vyovyote vya Jimbo la Israeli tangu tarehe 7 Oktoba 2023, chora picha ya kutisha inayowezeshwa na kutokujali kabisa,” wataalam sema. Wito kwa waangalizi wa kimataifa “Kinachohitajika sasa si pungufu ya uwepo…

Read More