MUHAMMAD YUNUS AOMBWA KUWA MSHAURI MKUU WA SERIKALI YA MPITO BANGLADESH – MWANAHARAKATI MZALENDO

Muhammad Yunus, mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel, amekuwa kwenye mzozo wa kisiasa na Waziri Mkuu wa Bangladesh, Sheikh Hasina, kwa muda mrefu. Waandamanaji wanamtaka Profesa Yunus, mwenye umri wa miaka 84, ateuliwe kuwa mshauri mkuu wa serikali ya mpito ya Bangladesh, wakitambua mchango wake mkubwa katika kupunguza umaskini kupitia mikopo midogo midogo. Profesa…

Read More

Jeshi laanza rasmi jukumu la kuiongoza kwa muda Bangladesh – DW – 06.08.2024

Rais wa Bangladesh Mohammed Shahabuddin tayari amelivunja bunge katika utekelezaji wa hatua ambayo ni moja ya matakwa muhimu ya wanafunzi walioandamana. Taarifa ya kuvunjwa kwa bunge hilo imetolewa na katibu wa habari wa Rais Shiplu Zaman. Mkuu wa jeshi Jenerali Waker-Uz-Zaman anatazamiwa kukutana na viongozi wa maandamano ya wanafunzi wakati taifa hilo likisubiri kuundwa kwa…

Read More

BUNGE LAVUNJWA, WANAFUNZI WAENDELEA NA MAANDAMANO, POLISI WAANZA MGOMO – MWANAHARAKATI MZALENDO

Bunge la Bangladesh limevunjwa kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi ya rais, kufuatia masharti yaliyowekwa na waratibu wa maandamano ya wanafunzi. Wanafunzi hao walikuwa na makataa ya saa tisa (09:00 GMT) kwa serikali inayooongozwa na jeshi kujibu madai yao. Wanafunzi wamesema hawatakubali serikali inayooongozwa na jeshi na wamepata idhini ya Muhammad Yunus, mshindi wa tuzo…

Read More