Wapinzani nchini Venezuela wachunguzwa – DW – 06.08.2024

Mwendesha mashtaka mkuu waVenezuela ametangaza juu ya kuanzishwa uchunguzi wa makosa ya jinai dhidi ya mgombea urais Edmundo Gonzalez na kiongozi wa upinzani Maria Corina Machado juu ya wito wao kwa vikosi vya jeshi kuacha kumuunga mkono Rais Nicolas Maduro na pia kuacha kuwakandamiza waandamanaji. Soma Pia: Umoja wa Ulaya wasema ushindi wa Maduro hauwezi kutambulika …

Read More

Timu za Ligi Kuu Bara kutumia viwanja vya Zanzibar

Mtendaji mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB), Almas Kasongo amesema kuanzia msimu ujao wa Ligi 2024/25 ni ruksa kwa timu ya Ligi Kuu Bara kutumia viwanja vya Zanzibar. Kasongo ameyasema hayo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari waliohudhuria semina inayoendeshwa na bodi hiyo. Kasongo amesema katika kanuni iliyofanyiwa mmaboresho kuelekea msimu mpya ni…

Read More

KAMALA HARRIS ATANGAZA MGOMBEA MWENZA KATIKA KINYANG’ANYIRO CHA URAIS – MWANAHARAKATI MZALENDO

Leo Jumanne, Makamu wa Rais Kamala Harris anatarajiwa kutangaza mgombea mwenza wake, hatua muhimu itakayomaliza kipindi cha uvumi kuhusu jina litakalokuwa pamoja naye katika uchaguzi wa urais wa mwezi Novemba. Tangazo hili linakuja baada ya Bi Harris kufanya mahojiano na wagombea mbalimbali maarufu huko Washington DC mwishoni mwa juma, ikiwa ni pamoja na Josh Shapiro,…

Read More

Jenerali Waker achukua majukumu Bangladesh – DW – 06.08.2024

Mkuu wa majeshi Jenerali Waker-uz-Zaman ametangaza “kuchukua majukumu kamili” huku akiweka hadharani mipango ya kuunda serikali ya mpito. Mashirika ya kutetea haki za binadamu ya kimataifa ambayo yaliishutumu serikali ilioanguka ya Hasina kwa ukiukwaji wa haki yamesema Wabangladeshi wameIshinda serikali yao.  Jenerali Uz-Zaman amesema hayo baada ya vyombo vya habari vya ndani kumuonyesha waziri Mkuu…

Read More