KAULI YA POLISI, UCHUNGUZI WA TUKIO LA UKATILI LILILOENEA MITANDAONI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Jeshi la Polisi Tanzania limepokea simu nyingi kutoka kwa waandishi wa habari wakitaka kufahamu hatua zilizochukuliwa kuhusu video iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikionesha tukio la ukatili dhidi ya msichana mdogo. Katika taarifa kwa umma iliyotolewa na David A. Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi, imeelezwa kuwa uchunguzi unaendelea vizuri na wananchi watajulishwa matokeo mara…

Read More

Pacome: Nyie subirini | Mwanaspoti

KUELEKEA katika mechi ya dabi itakayochezwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa, kiungo wa Yanga Pacome Zouzoua amefunguka kuhusu mwanzo wake mpya. Kupitia Mwanaspoti iliwahi kuwatarifu mashabiki kuwa, kocha wa kikosi hicho, Miguel Gamondi ameweka wazi kuwa katika mechi hiyo hataangalia majina makubwa ya wachezaji, lakini ubora wa wachezaji. Akizungumza na Mwanaspoti, staa huyo wa kimataifa…

Read More

Rais Samia aagiza kiwanda cha tumbaku kuchangia bima ya afya

  RAIS Samia Suluhu Hassan ameuagiza uongozi wa Kiwanda cha Sigara cha Serengeti (SCC) na Kiwanda cha kuchakata Tumbaku (MTPL) mkoani Morogoro kuchangia mpango wa Taifa wa bima ya afya kwa wote ili kuwatibu wachache watakaokuwa wanakohoa kwa kutumia asilimia tano ya sigara zinazozalishwa na kiwanda hicho na kusambazwa nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro ……

Read More

RAIS SAMIA AZINDUA KIWANDA CHA SIGARA CHA MKWAWA LEAF NA UPANUZI WA KIWANDA CHA TUMBAKU – MWANAHARAKATI MZALENDO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezindua rasmi Kiwanda cha Sigara cha Mkwawa Leaf na kuweka jiwe la msingi kwa upanuzi wa kiwanda cha uchakataji tumbako katika mkoa wa Iringa. Hafla hiyo ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali, wadau wa sekta ya kilimo, na wananchi wa mkoa huo. Akizungumza wakati…

Read More

Vijana waanguasha utawala wa miaka 15 Bangladesh – DW – 06.08.2024

Maandamano nchini Bangladesh yalianza mnamo mwezi Julai kwanza kwa mikutano ya hadhara iliyoongozwa na wanafunzi wa vyuo vikuu kupinga upendeleo katika kugawa ajira kwenye utumishi wa umma na kisha maandamano ambayo hivi karibuni yaliongezeka na kuwa machafuko mabaya ambapo waandamanaji walimtaka kiongozi huyo aondoke madarakani. Mashambulizi ya polisi na makundi ya wanafunzi wanaoiunga mkono serikali…

Read More

Mafuriko yalivyowaacha ‘hoi’ wajasiriamali Moro | Mwananchi

Morogoro. “Nilikuwa nimelala nikasikia upepo mkali, kuweka mkono kwenye neti pembeni ya kitanda, kumbe maji yalikuwa yameshajaa ndani.” Hivyo ndivyo anavyoanza kusimulia Oktavina Komba, mama wa watoto wawili kuhusu mafuriko yaliyotokea eneo analoishi Kitongoji cha Kilolelo, Kata ya Msegese wilayani Malinyi Mkoa wa Morogoro. Machi 12, 2024 usiku kulinyesha mvua kubwa mkoani Morogoro na kusababisha…

Read More

UN inaangalia mgogoro 'kwa karibu sana' wakati Waziri Mkuu anajiuzulu na kukimbia nchi – Masuala ya Ulimwenguni

“Tunaendelea kutoa wito wa utulivu na kujizuia na kuzitaka pande zote kuheshimu haki ya kukusanyika na kujieleza kwa amani,” Farhan Haq, Naibu Msemaji wa Umoja wa Mataifa aliambia mkutano huo wa kila siku kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York. “Tunaviomba vyombo vya usalama kuwalinda walio nje ya barabara huko Dhaka na…

Read More

Yatakayotokea Ngao ya Jamii hamtaamini, ishu hii hapa…

Simba wameweka kitu na Yanga wakaweka kitu. Simba Day na Wiki ya Mwananchi zimepita. Kila shabiki sasa ni mchambuzi wa soka mitaani kutokana na kile alichokiona Kwa Mkapa. Lakini kiufundi kwa jinsi vikosi vilivyooneka wikiendi katika matamasha hayo, mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii, Agosti 8 huenda ukawa na sapraizi nyingi. Miguel Gamondi…

Read More