Teknolojia ya uhimilishaji kutoka Marekani na Brazil kuleta mapinduzi sekta ya mifugo

Wafugaji wazawa sasa wanaweza kuongeza uzalishajiwao wa maziwa na nyama kufuatia kufikiwa na teknalojia mpya na ya kisasa ya uhimilishaji ambayo imefanyiwa utafiti wa kina kutoka nchini Marekani naBrazil. Teknalojia hiyo mpya inayohusisha kuchanganya mbegu za ng’ombe wa asili na mbegu za kutoka Marekani na Brazil ambapo hupelekea kupatikana kwang’ombe chotara imeletwa hapa nchini na…

Read More

Waliofaulu usaili wa ajira serikalini waitwa kazini

Dar es Salaam. Watanzania walioomba kazi katika nafasi mbalimbali ambao walifanya usaili kati ya Januari 14, 2023 na Juni 21, 2024 na kufaulu sasa wameitwa kuripoti kazini. Jana Jumatatu, Agosti 5, 2024, taarifa ya Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imesema watu hao wanatakiwa kuchukua barua za kupangiwa kituo cha kazi ndani…

Read More

Waziri Aweso ataka huduma ya maji safi kuimarishwa Morogoro.

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso amepongeza ushirikiano baina ya Taasisi za sekta ya Maji Morogoro na kuzitaka kuendelea kushirikiana katika kuhakikisha lengo la kutoa huduma ya maji ya uhakika kwa wananchi wa Morogoro linatimia. Mhe. Aweso ameyasema hayo leo alipotembelea banda la sekta ya maji Morogoro katika maonesho ya Nanenane kanda ya mashariki yanayoendelea…

Read More

Sauli kuzikwa kesho kijijini kwao Chunya

Mbeya. Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabasi ya Sauli, Solomon Mwalabila unatarajiwa kuzikwa kesho Jumatano Agosti 7,  2024 katika Kijiji cha Godima wilayani Chunya Mkoa wa Mbeya. Mwalabila  maarufu kwa jina la Sauli aliyefariki dunia Agosti 4,  2024 kwa ajali ya gari mkoani Pwani, mwili wake unatarajia kusafirishwa leo Jumanne Agosti 6, 2024 kwenda…

Read More

Walioomba ajira serikalini waitwa kazini

Dar es Salaam. Watanzania walioomba kazi katika nafasi mbalimbali ambao walifanya usaili kati ya Januari 14, 2023 na Juni 21, 2024 na kufaulu sasa wameitwa kuripoti kazini. Jana Jumatatu, Agosti 5, 2024, taarifa ya Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imesema watu hao wanatakiwa kuchukua barua za kupangiwa kituo cha kazi ndani…

Read More