Kauli za ‘kisiasa’ zinavyovuruga elimu ya Tanzania

Mastaajabu hayajapoa katika sekta ya elimu nchini. Ukisahau walimu wa UPE miaka ile ya 1970 au wale wa ‘Voda Fasta miaka ya 2000’, utakutana na uamuzi wa kufuta masomo ya kilimo na michezo. Hii ndiyo sekta ya elimu ambayo kwa miaka nenda rudi, baadhi ya maamuzi yanayofanywa na watendaji yamekuwa yakiwaacha midomo wazi Watanzania. Kibaya…

Read More

TARURA yakerwa na wananchi ya utupaji taka ovyo katika mitaro ya miundombinu ya barabara

Kaimu Meneja Wakala ya Barabara Vijijini na Mijini (TARURA) Kutoka Dodoma jiji Mhandisi Kasongo Molijo akisikiliza wananchi Waliotembelea Banda la TARURA (hawapo pichani) katika Maonesho ya Kilimo Kitaifa Nane Nane yanayoendelea katika viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma. Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Bi. Catherine Sungura…

Read More

NIRC:Sheria ya Umwagiliaji imetungwa katika kuondoa changamoto ya Umwagiliaji

Na Chalila Kibuda,Dodoma  Tume ya Taifa ya Umwagiliaji(NIRC) imesema sheria ya umwagiliaji imewekwa katika  kuondoa changamoto  zinazoikabili sekta ya umwagiliaji nchini. Akizungumza leo kwenye maonesho ya Kimataifa ya wakulima yanayoendelea kwenye viwanja vya Nanenane Nzuguni Jijini Dodoma Afisa Sheria mwandamizi NIRC Amina Mweta  amesema  kumekuwa na ushiriki mdogo wa wakulima na sekta binafsi katika kuendeleza…

Read More

FCC yataka Wajasiriamali na Wafanyabiashara kufungasha bidhaa zao kwa ubora

Mkurugenzi Mkuu wa FCC William Erio akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na Wakulima,Wafugaji pamoja na Wavuvi  kutumia Pembejeo zenye wakati alipotembelea Mabanda mbalimbali  kwenye Maonesho ya Kilimo Kitaifa Nane Nane yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma Katika kulinda ubandia wa bidhaa na kuua mitaji Na Chalila Kibuda ,Dodoma Mkurugenzi Mkuu Tume ya Taifa…

Read More

Kwenye Ngao ya Jamii sapraizi inakuja, mtego uko hapa

SIMBA wameweka kitu na Yanga wakaweka kitu. Simba Day na Wiki ya Mwananchi zimepita. Kila shabiki sasa ni mchambuzi wa soka mitaani kutokana na kile alichokiona Kwa Mkapa. Lakini kiufundi kwa jinsi vikosi vilivyooneka wikiendi katika matamasha hayo, mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii, Agosti 8 huenda ukawa na sapraizi nyingi. Miguel Gamondi…

Read More