Hospitali yenye viwango vya kidunia kujengwa Tanzania

Dar es Salaam. Tanzania inatarajiwa kuwa miongoni mwa nchi tano za Afrika zitakazonufaika na ujenzi wa mradi mkubwa wa hospitali itakayokuwa na viwango vya dunia vya utoaji huduma za matibabu (African Medical Center of Excellence (AMCE). Mradi huo unatekelezwa kupitia mradi unaotekelezwa na African Export-Import Bank (Afreximbank) kwa kushirikiana na Hospitali ya Chuo Kikuu cha…

Read More

Mume asimulia jinsi Mchungaji Kantate alivyomuaga

Hai. Mungu ameficha siri kubwa katika kifo. Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mchungaji Kiongozi wa Usharika wa Kimashuku, Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Kantate Munis (42) kufariki dunia kwa ajali, saa chache baada ya kumtaka mumewe ambaye pia ni mchungaji, Israel Moshi kuvaa vazi lake la kichungaji…

Read More

Hospitali yenye viwango vya kiduniani kujengwa Tanzania

Dar es Salaam. Tanzania inatarajiwa kuwa miongoni mwa nchi tano za Afrika zitakazonufaika na ujenzi wa mradi mkubwa wa hospitali itakayokuwa na viwango vya dunia vya utoaji huduma za matibabu (African Medical Center of Excellence (AMCE). Mradi huo unatekelezwa kupitia mradi unaotekelezwa na African Export-Import Bank (Afreximbank) kwa kushirikiana na Hospitali ya Chuo Kikuu cha…

Read More

Kijana wa miaka 29 amuoa mama mwenye nyumba, Aelezea Mikasa

Kama kijana wa kiume unajua kuna mambo yanaweza kukutokea hadi wewe mwenyewe ukawa unashangaa maana yake ni ipi hasa, ndicho nilichonikuta mimi pale ambapo mama mwenye nyumba aliponiita nyumbani na kuniambia kuwa ananitaka kimapenzi. Naitwa Kelvin, naishi Dodoma, ni kijana wa miaka 29 ambaye najishughulisha na biashara ya kuuza chips maeneo ya mjini, kutokana na…

Read More

Mbowe: Mama Mdee alikuwa mlezi wa imani ya kupigania haki

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amemtaja Theresia Mdee, mama mzazi wa Mbunge wa Viti Maalumu, Halima Mdee kuwa mlezi wa harakati na mtunzi wa imani ya kuitafuta haki katika Taifa. Theresia alifariki dunia Jumanne Julai 30, 2024, katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma baada ya kuugua saratani ya shingo ya kizazi….

Read More

Ufugaji ng’ombe kisasa kukidhi soko la nyama Njombe

Mbeya. Changamoto ya upatikanaji wa nyama katika Halmashauri ya Mji Njombe mkoani Njombe, huenda ikabaki historia baada ya kuanzisha mradi wa shamba la ufugaji wa ng’ombe wa nyama utakaohudumia soko la nyama kitaifa. Halmashauri ya Mji Njombe imekuwa ikipitia changamoto ya upatikanaji wa nyama, ikitegemea mnada wa Mbarali mkoani Mbeya kukidhi mahitaji, huku kilo ya…

Read More