RC Kunenge atoa maagizo tathimini maonyesho ya Nanenane Moro

Morogoro. Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Aboubakar Kunenge, amewaagiza wataalamu wa kilimo, mifugo na uvuvi waliopo kwenye maonyesho ya wakulima Nanenane Kanda ya Mashariki kuandaa taarifa ya tathmini ya maonyesho hayo ili kubaini jinsi yalivyowanufaisha wakulima wadogo, hususan katika kuongeza tija ya uzalishaji. Kunenge ametoa agizo hilo leo Jumatatu, Agosti 5, 2024 baada ya kutembelea…

Read More

Uingereza kuendelea kufadhili miradi ya Ukimwi nchini

Moshi.Balozi wa Uingereza nchini Tanzania,  David Concar amesema nchi yake itaendelea kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Serikali ya Tanzania katika kupambana na ugonjwa wa Ukimwi, ili kutimiza malengo  ya kimataifa ya muda wa kati na mrefu,  kuona hakuna maambukizi mapya, unyanyapaa na vifo vinavyohusiana  na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU). Balozi Concar amesema hayo…

Read More

TANROADS YATINGA MAONESHO YA NANENANE JIJINI DODOMA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI

  Mhandisi wa Miradi kutoka Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS), Fulgence Lendo, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Agosti 5,2024 katika Banda la TANROADS lililopo katika maonesho ya Wakulima (Nanenane) yanayoendelea katika viwanja vya Nzunguni jijini Dodoma. MTAALAM wa Malighafi na Majenzi Barabara kutoka Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS),Kitengo cha Utafiti na Maendeleo,Mhandisi…

Read More

Straika wa Mali atua Coastal Union

DAUDI ELIBAHATI: TIMU ya Coastal Union imekamilisha uhamisho wa mshambuliaji raia wa Mali, Amara Bagayoko kutoka Klabu ya ASKO de Kara ya Togo. Mshambuliaji huyo msimu uliopita akiwa na ASKO de Kara, Bagayoko alikuwa mfungaji bora wa Ligi ya Togo baada ya kufunga jumla ya mabao 19, huku akichezea timu mbalimbali za FC Nouadhibou ya…

Read More