Simba mpya yamshtua Gamondi, afunguka haya

SIMBA mpya ya msimu ujao wa 2024-2025 imeonekana kumshtua Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi baada ya kutamka kwamba wapinzani wake hao wamefanya usajili mzuri na kutengeneza timu nzuri tofauti na ile iliyopita, hivyo amewaambia mastaa wake kuna kitu cha kufanya. Gamondi ametoa kauli hiyo baada ya kuishuhudia Simba Jumamosi iliyopita ikishinda mabao 2-0 dhidi…

Read More

EWURA KANDA YA KATI YAITA MAFUNDI UMEME KUPATA LESENI, WANANCHI KUJENGA VITUO VYA GHARAMA NAFUU VIJIJINI

MENEJA wa Kanda ya kati Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Kati, Bi.Hawa Lweno,akizungumza na waandishi wa habari kwenye banda la EWURA katika maonesho ya Wakulima (Nanenane) yanayoendelea katika viwanja vya Nzunguni jijini Dodoma   Na.Alex Sonna-DODOMA MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya Kati…

Read More

Mwenyekiti chama cha wawekezaji wa utalii ajiuzulu

Unguja. Mwenyekiti wa Chama cha Wawekezaji wa Utalii Zanzibar (Zati), Rahim Bhaloo, amejiuzulu nafasi hiyo ikiwa ni miezi mitatu kabla ya kumaliza muda wake wa uongozi wa miaka mitatu.  Bhaloo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar (ZCT), akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatatu Agosti 5, 2024, ametaja sababu moja tu iliyomfanya ajiuzulu…

Read More

WAZIRI KOMBO APOKEA NAKALA ZA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA MABALOZI WATEULE WA ZIMBABWE, ITALIA NA RWANDA NCHINI

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thatib Kombo (Mb.) amepokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Zimbabwe nchini, Mhe. Helen Bawange Ndingani, Balozi Mteule wa Italia nchini, Mhe. Giuseppe Sean Coppola na Balozi Mteule wa Rwanda nchini, Mhe. Jenerali Patrick Nyamvumba katika Ofisi Ndogo…

Read More

Edgar apewa mmoja Fountain Gate

ALIYEKUWA mshambuliaji wa KenGold, Edgar William amekamilisha uhamisho wa kujiunga na Fountain Gate kwa mkataba wa mwaka mmoja. Nyota huyo ambaye ni mfungaji bora wa Ligi ya Championship msimu uliopita akifunga mabao 21, amekamilisha dili hilo baada ya awali kukwama kujiunga na kikosi cha Singida Black Stars kilichomuhitaji ili akakichezee kwa msimu ujao. Akizungumza na…

Read More

NMB Foundation, ZASCO kuwanoa wakulima wa mwani 1300 Z’bar

ASASI ya NMB Foundation kwa kushirikiana na kampuni ya Mwani Zanzibar (ZASCO) wamezindua mafunzo endelevu kwa wakulima 1,300 wa mwani Unguja na Pemba, ambapo Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeipongeza na kuitaja asasi hiyo kama mbia wa karibu, wa kimkakati na wa muda wote wa maendeleo Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Mafunzo…

Read More

Asasi za kiraia zapambana na ugaidi licha ya kushutumiwa – DW – 05.08.2024

Kulingana na wadau waliokuwa wanashiriki kongamano jijini Kampala, utakatishaji fedha una mahusiano makubwa na ufadhili unaowawezesha magaidi kuendesha maovu yao. Dhana hii ilianza kupata umaarufu baada ya shambulio lililofanyika Marekani tarehe 11 mwezi Septemba mwaka 2001. Tangu wakati huo, mamlaka za usalama za mataifa na kimataifa zimezidisha juhudi za kushughulikia uhalifu wa kimataifa wa utakatisaji…

Read More

Clara Luvanga akitamani kiatu Saudia

NYOTA wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga Al Nassr ya Saudi Arabia, Clara Luvanga amesema anatamani kuchukua Tuzo ya Kiatu cha Ufungaji Bora msimu huu wa Ligi Kuu Soka Wanawake nchini humo. Msimu uliopita straika huyo alimaliza na mabao 11 akiwa kwenye nne bora za wafungaji nyuma ya Ibtissam Jraidi wa Al Ahli aliyefunga mabao 17…

Read More