
TCB: Tuna imani na uzoefu mkubwa wa Lilian Mtali
MKURUGENZI Mtendaji wa Benki ya Tanzania (TCB), Adam Mihayo amesema ana imani na uzoefu mkubwa wa Lilian Mtali ambaye ameteuliwa na benki hiyo kuwa Mkurugenzi wa Biashara za wateja Wadogo na wa Kati. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Akizungumzia ujio wa Mtali katika Benki ya TCB, Mkurugenzi huyo amesema pia ana imani…