BARRICK RUNNERS NDANI YA SERENGETI ANTI-POACHING RUN 2024

Mfanyakazi wa Barrick,Safarani  Msuya akipokea cheti cha ushiriki kutoka kwa Katibu Tawala wa wilaya ya Serengeti,Angelina Marco Wafanyakazi wa kampuni ya Barrick nchini kupitia klabu zao za mchezo wa Marathon wameshiriki katika mbio za  kilomita 12  za Serengeti Anti-poaching Run 2024 zilizofanyika wilayani Serengeti mkoani Mara.   Wakimbiaji kutoka Barrick Runners clubs wamekuwa wakishiriki marathon mbalimbali…

Read More

Safari ya utajiri inaanza leo na Expanse kasino

Meridianbet Kasino inaendelea kufaidisha wateja, kwakucheza michezo ya kasino na sloti unaweza kushindabonasi ya kasino Baab kubwa, jisajili upate bonasi yaUkaribisho kwa asilimia 300% kisha cheza michezo yakasino ya mtandaoni na kubashiri michezo mingi. Kupitia shindano la michezo ya kasino ya mtandaoni kutokaExpanse, unaweza kujishindia hadi Tsh 4,750,000/= ikiwemobonasi za kasino kibao. Kuna michezo mingi…

Read More

Mbeya inavyomkumbuka Sauli kwa mageuzi sekta ya usafirishaji

Mbeya. Umoja wa Wasafirishaji na Wafanyabiashara katika Stendi Kuu ya mabasi mkoani Mbeya, umesema kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi wa Kampuni ya mabasi ya Sauli, Solomon Mwalabila ni pigo kutokana na mageuzi aliyofanya katika sekta ya usafirishaji na kusaidia jamii. Sauli alikutwa na mauti jana Jumapili, Agosti 4 baada ya gari alilokuwa akisafiria kugongwa kwa nyuma…

Read More

Wakulima waaswa kuitumia VETA katika kulima Kilimo chenye tija

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu ya Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA)CPA Anthony  Kasore  akiangalia Viatu vinavyotengenezwa na bidhaa za ngozi katika Chuo cha Dakawa, Morogoro wakati alipotembelea Banda  la VETA katika Maonesho ya Kilimo Kitaifa Nane Nane yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma. *CPA Kasore aweka mikakati ya kuhakikisha Kilimo kinakua kutokana na…

Read More

RAIS SAMIA SULUHU AONYA VIONGOZI WAANZISHAO VIJIJI NDANI MAENEO YA HIFADHI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa onyo kali kwa viongozi wanaoanzisha vijiji ndani ya maeneo ya hifadhi na kuwatetea wananchi wanaohamia kwenye maeneo hayo, akisisitiza kuwa maeneo hayo yamehifadhiwa kwa ajili ya matumizi ya baadaye. Akizungumza katika mkutano wa hadhara, Rais Samia alieleza kuwa tabia hiyo ni kinyume na sheria na inahatarisha malengo ya serikali ya…

Read More