Tanzania yajipanga kuwa kinara teknolojia ya Metaverse Afrika

Dar es Salaam. Tanzania imejipanga kuwa kitovu cha teknolojia mpya ya intaneti iliyoibuka duniani ya Metaverse inayotokana na intaneti ya vitu iitwayo (IOT). Intaneti ya Metaverse inaunganisha dunia halisi na dunia isiyo halisi (virtual) ambayo kwa ujumla inatumika maeneo muhimu, ikiwemo elimu, afya, takwimu, viwanda na uchumi. Kwa tafsiri, Metaverse inatengeneza uhalisia wa kitu kama…

Read More

Rais wa Zanzibar atembelea banda la TADB katika Maonesho ya Kilimo "Nane Nane" 2024, Dole Kizimbani – Unguja

RAIS  wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi atembelea banda la TADB katika Maonesho ya Saba ya Kilimo “Nane Nane” 2024, Dole Kizimbani – Unguja. Rais Mwinyi ametembelea banda hilo alipokuwa akifungua rasmi maonesho ya saba ya Kilimo (nane nane) Zanzibar tarehe 3/8/2024. Katika banda la TADB Mhe. Dkt. Mwinyi amepokelewa…

Read More

Takukuru Kinondoni yatahadharisha rushwa kuelekea uchaguzi

Dar es Salaam. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kinondoni, imetahadharisha kuhusu vitendo vya rushwa kipindi hiki Taifa linapojiandaa na uchaguzi wa Serikali za mitaa baadaye mwaka huu. Takukuru imesisitiza rushwa katika uchaguzi husababisha kuchaguliwa kwa viongozi wasio waadilifu, watakaotumia muda wao mwingi kurejesha fedha walizotumia na si kuleta maendeleo kwa…

Read More

Mikoa Saba yafikiwa na msaada huduma za Kisheria

*katika kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia Na Chalila Kibuda ,Michuzi TV Dodoma WIZARA ya Katiba na Sheria imesema kuwa katika kampeni ya Msaada wa Kisheria wa Mama Samia katika Mikoa Saba wameweza kuhudumia wananchi zaidi ya 400,000 Akizungumza na waandishi wa habari katika Maonesho ya Kilimo Kitaifa Nane Nane yanayoendelea katika Viwanja…

Read More