
M23 wateka mji wa mpakani na Uganda
Waasi wa M23 wamedaiwa kuuteka mji mmoja wa mpakani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo bila mapigano jana Jumapili siku ambayo usitishaji mapigano kati ya DRC na nchi jirani ya Rwanda ulikusudiwa kuanza kutekelezwa. Inaripotiwa Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Mji wa Ishasha uliopo mpakani na Uganda, umekuwa wa karibuni zaidi kuangukia mikononi…