
AFARIKI KWA KUZAMA MTO NGERENGERE – MWANAHARAKATI MZALENDO
Mtu Mmoja aliyefahamika kwa jina Moja la Semeni,Mkazi wa Kijiji cha Bunduki wilayani Mvomero mkoani Morogoro amefariki dunia baada ya kuzama wakati akiogelea katika Mto Ngerengere. Akizungumza na waandishi wa habari shuhuda wa tukio hilo Alphonsi Ernesto ameeleza Semeni alizama Jumamosi Agosti 3 mwaka huu wakati akiogelea ni ya malisho na…