Hezbollah yaendelea kukabiliana na Israel – DW – 05.08.2024

Kundi la wanamgambo wa Lebanon la Hezbollah limesema mashambulizi yake ya droni mapema leo yaliyoilenga kambi ya jeshi, ni majibu kutokana na mauaji ya Israel yaliyofanywa hivi karibuni nchini humo. Israel imesema mashambulizi hayo yaliwajeruhi askari wawili na kusababisha uharibifu kadhaa. Israel imejibu mashambulizi na kulenga ngome za Hezbollah kusini mwa Lebanon na kuwaua watu…

Read More

Rais wa Nigeria atoa wito wa kusitishwa kwa maandamano – DW – 05.08.2024

Katika hotuba iliyorushwa kupitia televisheni, Rais Tinubu aliwataka waandamanaji hao kusitisha maandamano yoyote zaidi na kutoa nafasi ya mazungumzo, haya yakiwa matamshi yake ya kwanza ya umma tangu kuanza kwa maandamano hayo. Rais Tinubu anasema anaelewa matatizo ya wananchi Rais huyo amesema amewasikia waandamanaji kwa sauti kubwa na wazi, na kuongeza kuwa anaelewa mafadhaiko yanayochochea…

Read More

Bashe amvaa Mpina, asisitiza kulinda masilahi

  WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amemjibu Mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina kwamba Serikali itaendelea kulinda masilahi ya wakulima wa miwa katika Bonde la Kilombero ikiwemo haki ya kuendelea kupeleka miwa kiwandani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro … (endelea). Bashe amewaeleza wakulima hao wasiwe na wasiwasi na hilo ilihali Mpina akiongozwa na jopo la mawakili…

Read More

WAZIRI MKUU AJIUZULU NA KUKIMBIA NCHI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Waziri Mkuu wa Bangladesh, Sheikh Hasina, amejiuzulu na kukimbia nchi baada ya shinikizo kutoka kwa waandamanaji vijana waliokuwa wakimtaka aondoke madarakani. Hasina, ambaye ameiongoza Bangladesh tangu mwaka 2009, aliondoka mji mkuu wa Dhaka kwa helikopta akiwa na dada yake, na sasa yuko njiani kuelekea mji wa Agartala nchini India. Ripoti zinaeleza kuwa Waziri Mkuu huyo…

Read More

Waziri Mkuu wa Bangladesh akimbia nchi – DW – 05.08.2024

Mapema siku ya Jumatatu (Agosti 5), maelfu ya waandamaji walilivamia kasri la waziri mkuu huyo baada ya duru kufahamisha kuwa ameikimbia nchi kufuatia maandamano makubwa ya kumshikiza ajiuzulu. Kituo cha televisheni cha Chanel 24 kilionesha picha za makundi ya waandamanaji wakikimbilia kuingia ndani ya makaazi ya waziri mkuu huyo katika mji mkuu Dhaka, huku wakizipungia…

Read More

Teknolojia hii inavyoweza kumbeba mkulima mdogo

Dar es Salaam. Itakugharimu wastani wa Sh3.81 milioni kwa mwaka kumiliki jenereta linalotumia mafuta kwa ajili ya umwagiliaji katika kilimo na litadumu kwa miaka mitatu pekee. Pia mkulima atalazimika kutumia Sh10 milioni kumiliki mitambo ya nishati ya umeme jua kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji ambao kiuhalisia utadumu kwa miaka 20. Hiyo ni kwa mujibu…

Read More

Mkurugenzi mshauri wa USAID afanya ziara kukagua miradi ya USAID Afya Yangu na Kizazi Hodari Kanda ya Kusini

 MSHAURI Mkuu wa kiufundi wa watoto yatima na walioko katika mazingira magumu kutoka USAID Sarah Dastur amefanya ziara ya siku moja ndani ya Mkoa wa Iringa kwa lengo la kuwatembelea walengwa wanaonufaika na miradi ya USAID Afya yangu na Kizazi Hodari, Kanda ya Kusini. Miradi hiyo miwili inatekelezwa na Deloitte Consulting Limited kupitia shirika la…

Read More