UJENZI WA KITUO CHA UMAHIRI CHA MATIBABU TANZANIA TUMAINI JIPYA SEKTA YA AFYA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Tanzania inatarajiwa kuanza ujenzi wa Hospitali ya Kituo cha Umahiri cha Matibabu, mradi mkubwa unaotekelezwa na African Export-Import Bank (Afreximbank) kwa kushirikiana na Hospitali ya Chuo Kikuu cha King, iliyoko London, Uingereza. Hospitali hii itakuwa na viwango vya dunia na inatarajiwa kuwa na uwezo wa kulaza wagonjwa 500 kwa wakati mmoja, ikitoa huduma za kisasa…

Read More

SERIKALI YAENDELEZA MPANGO WA KUIFUNGUA KIGOMA KUWA LANGO LA KIBIASHARA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ametangaza kuwa utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika mkoa wa Kigoma unaendelea kama ilivyoahidiwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa Mwanga Community Centre, mjini Kigoma, Balozi Nchimbi alibainisha miradi kadhaa inayolenga kuufungua mkoa huo kibiashara….

Read More

MR. MANGURUWE ATUNUKIWA UDAKTARI, SASA AWA DR. MANGURUWE! – MWANAHARAKATI MZALENDO

#BIASHARA Mwanzilishi na mmiliki wa Mradi wa Kijiji cha Nguruwe Project Simon Mnkondya (maarufu kama Mr Manguruwe) wa Zamahero Dodoma nchini Tanzania ambaye amejizolea umaarufu mkubwa Mitandaoni kupitia mradi huo, ameutunukiwa Shahada ya Udhamiri wa Falsafa ya Biashara na Maendeleo ya Jamii ( Doctor In Business and Humanity) ya Chuo kikuu cha Afican Graduate University….

Read More

Mchungaji, mzee wa kanisa wafa ajalini Kilimanjaro

Hai. Watu wawili wamefariki dunia, akiwamo Mchungaji wa Usharika wa Kimashuku, Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Kantate Munis (42) baada ya gari walilokuwa wakisafiria kugongana na basi kubwa la abiria. Akizungumza na Mwananchi leo Jumatatu Agosti 5, 2024, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amesema ajali hiyo…

Read More

MAENDELEO YA RAIS SAMIA YAPATA SIFA NYINGI IFAKARA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mbunge wa jimbo la Kilombero, mkoani Morogoro Abubakar Asenga (CCM), amesifu juhudi na maendeleo yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan, akisema kwamba haya maendeleo hayajawahi kufanyika tangu dunia iumbwe. Akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika Uwanja wa CCM Ifakara wilayani Ifakara mkoani Morogoro siku ya Jumatatu, Agosti 5, 2024, wakati wa Ziara ya…

Read More

Trilioni 4.42 kujenga vituo 75 vya kupoza umeme

  Naibu Waziri Nishati, Judith Kapinga amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia wizara ya nishati kupitia Shirika la Umeme nchini (TANESCO) kujenga vituo 75 vya kupokea, kupoza na kusambaza umeme kwa gharama ya Sh 4.42 trilioni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Morogoro… (endelea). Kapinga amesema hayo jana Jumapili wakati wa ziara ya Rais Samia katika kituo cha…

Read More

MR. MANGURUWE ATUNUKIWA UDAKTARI, SASA NI DR. MANGURUWE!

  Mfugaji maarufu wa Nguruwe na mmiliki wa Mradi wa Kijiji cha Nguruwe Project Mr Manguruwe wa Zamahero Dodoma nchini Tanzania ambaye amejizolea umaarufu mkubwa Mitandaoni, ameutunukiwa SHAHADA YA UDHAMIRI WA FALSAFA YA BIASHARA NA MAENDELEO YA JAMII( DOCTOR IN BUSINESS AND HUMANITY) ya Chuo kikuu cha AFRICAN GRADUATE UNIVERSITY.   Ametukuniwa udaktari huo baada…

Read More

Jotoardhi kunufaisha kilimo, ufugaji, wavuvi

  MJEOKEMIA Mwandamizi wa Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC), Ariph Ole Kimani amesema uzalishaji wa nishati jadidifu ya Jotoardhi unaondelea kufanyika nchini utaongeza mnyororo wa thamani kwenye sekta ya kilimo, uvuvi na ufugaji. Anaripoti Selemani Msuya, Dodoma… (endelea). Kimani amesema hayo wakati akizungumza na mwandishi wa habari hii, alipotembea banda la TGDC lililopo katika…

Read More