Tanesco wasema maboreshaji mita za luku kukamilika Novemba

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Dodoma Shirika la Umeme (Tanesco) limesema maboresho yanayoendelea katika mfumo wa kulipia umeme kadiri mteja anavyotumia (Luku) yatakamilika Novemba 24 mwaka huu. Shirika hilo linafanya maboresho hayo kwa lengo la kuhakikisha mfumo huo unaendana na viwango vya kimataifa na kuongeza usalama wa mita hizo. Akizungumza Agosti 4,2024 Meneja Masoko wa…

Read More

Wauguzi na wakunga watakiwa kuzingatia kanuni, maadili

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Dodoma Wauguzi na wakunga nchini wametakiwa kutekeleza misingi saba ya kanuni na maadili ya taaluma hiyo ili kutoa huduma bora na zenye staha. Wito huo umetolewa Agosti 4,2024 na Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC), Agnes Mtawa, wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye Maonesho ya Wakulima…

Read More

Rais Samia aipongeza REA – Millard Ayo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameupongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kazi nzuri wanazofanya. Mhe. Rais ametoa pongezi hizo leo Agosti 4 wilayani Kilombero, Mkoa wa Morogoro alipotembelea Kituo cha Kupokea na Kupoza umeme cha Ifakara kilichojengwa na Serikali ya Tanzania kupitia REA kwa kushirikiana na Umoja…

Read More

Kazi inaendelea viwanja vya Leisure Lodge

AKIWA na matumaini makubwa ya kufanya vizuri, mchezaji Vicky Elias anaiongoza timu ya Watanzania kushinda mashindano ya mfululizo wa viwanja vitano ya Coastal Open ambayo yanaanza asubuhi hii katika viwanja vya Leisure Lodge, Mombasa, Kenya. Elias ambaye anatoka klabu ya TPDF Lugalo  ya jijini Dar es Salaam, ameiambia Mwanaspoti  kutoka Mombasa kwamba yete na wenzake…

Read More

City inahitaji pointi za mapema Championship

WAKATI Mbeya City ikianza kambi yake kwa ajili ya msimu ujao, uongozi umeeleza muelekeo wa timu hiyo ukisisitiza utajipanga ndani na nje ya uwanja kukusanya pointi za mapema. Timu hiyo inajiandaa na Championship kwa msimu wa pili mfululizo baada ya kushuka daraja 2022/23 na imeanza kambi yake huko Isyesye jijini humo kujiandaa na msimu mpya…

Read More

MTATURU AMWAGA VIFAA VYA UJENZI MANG’ONYI.

  MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu,amekabidhi mifuko 100 ya saruji na mtofali 1,000 kwa ajili ya kuanzisha ujenzi wa maabara za sayansi katika Shule ya Msingi Mang’onyi Shanta ikiwa ni kutimiza ahadi yake aliyoitoa wakati wa mahafali ya kidato cha nne mwaka jana 2023. Msaada huo ameukabidhi Agosti 4,2024,akiwa katika muendelezo wa ziara yake…

Read More