Mabosi wapya Iringa wamepania sana

UONGOZI mpya wa Chama cha Soka la Wanawake Mkoa wa Iringa umesema baada ya kukamilika kwa uchaguzi, shughuli iliyobaki ni kupiga kazi kuhakikisha mpira unachezwa wilaya zote. Uchaguzi wa chama hicho ulifanyika mwishoni mwa wiki iliyopita na kuwapata viongozi wake watakaokiongoza kwa miaka minne ijayo huku matarajio ya wengi ikiwa ni kuona mabadiliko. Waliochaguliwa ni…

Read More

Wamehama kambi | Mwanaspoti

WAPO wanaosema ni kabila tu mtu ndio hawezi kuhama, lakini imani ya dini watu wanahama. Wapo wanaohama vyama vya kisiasa na hata kwa ishu ya uraia wapo wanaohama na maisha yakaendelea freshi tu na huko katika ushabiki wa soka mambo nako ni moto, ingawa hutokea kwa nadra sana. Ndio, kutokana na mchezo maarufu wa soka,…

Read More

SIO ZENGWE: Simba ijiepushe na laana ya Manula

WAKATI ule wa usajili wa kutotumia mikataba, ilikuwa rahisi kwa klabu kutomwambia lolote mchezaji hadi siku ya mwisho ya usajili anapojikuta hayumo kwenye orodha ya klabu aliyokuwa anaichezea na kwa jumla hayumo kwenye usajili wa klabu yoyote hadi msimu mwingine. Wakati huo hakukuwa na dirisha la katikati ya msimu. Usajili ulikuwa mwanzoni mwa msimu pekee….

Read More

Ishu ya Manula yagawa Simba SC, mashabiki wafunguka

SIMBA juzi ilifanya utambulisho wa kikosi kipya cha msimu wa 2024-2025 kwenye kilele cha tamasha la Simba Day, lakini kuna kitu kilijitokeza na kuzua sintofahamu, baada ya kipa namba moja wa timu hiyo, Aishi Manula kutotambulishwa rasmi kama ilivyozoeleka na kutajwa baadaye sana baada ya zoezi la upigaji wa picha. Hata hivyo, Ofisa Habari wa…

Read More

Chippo anukia Tabora United | Mwanaspoti

UONGOZI wa Tabora United uko katika mazungumzo ya kumuajiri aliyekuwa kocha wa Pamba na Coastal Union, Yusuf Chippo ili akawe msaidizi wa kocha mkuu Mkenya, Francis Kimanzi, ambaye muda wowote atatangazwa kuiongoza timu hiyo kwa msimu ujao. Makocha hao ambao wote ni raia wa Kenya, wako katika hatua za mwisho za kukabidhiwa kikosi hicho ikiwa…

Read More

Ongezeko magonjwa ya zinaa tishio la ugumba

Morogoro/Dar. Wataalamu wa afya wameonya kuwa jamii inapaswa kuenenda na ngono salama, kwa kuwa ongezeko la magonjwa ya zinaa nchini LInatishia usalama wa afya ya uzazi hasa kwa vijana, kwani yanachochea tatizo la ugumba. Wakitaja athari kwa mwanamke, wamesema huziba mirija ya uzazi, huku magonjwa kama kisonono yakiathiri njia ya kupitisha mbegu kwa mwanaume na…

Read More

RAIS SAMIA AIPONGEZA REA – Mzalendo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameupongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kwa kazi nzuri wanazofanya. Mhe. Rais ametoa pongezi hizo leo Agosti 4 wilayani Kilombero, Mkoa wa Morogoro alipotembelea Kituo cha Kupokea na Kupoza umeme cha Ifakara kilichojengwa na Serikali ya Tanzania kupitia REA kwa kushirikiana na Umoja…

Read More