Mahakama Kuu yabatilisha uuzaji viwanja vya Hans Poppe

Tanga. Mahakama Kuu Divisheni ya Ardhi Dar es Salaam, imebatilisha uuzaji wa viwanja viwili na vingine vilivyokuwa vinatakiwa kuuzwa, vilivyokuwa vinamilikiwa na aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili na pia mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Soka ya Simba, Zacharia Hans Poppe, baada ya kubaini uuzaji huo ulikuwa batili. Mahakama imefikia uamuzi…

Read More

BIBI HARUSI AGOMA KUFUNGA NDOA BWANA HARUSI AFANYA SHEREHE KUWARIDHISHA WATOA MICHANGO – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Katika hali isiyo kuwa ya kawaida, kijana Edward Futakamba, mkazi wa Mpanda mkoani Katavi amejikuta akifanya sherehe ya harusi bila ya mwenza wake, ikidaiwa siku chache zilizopita familia ya bibi harusi ilighairi kufanyika kwa ndoa hiyo.     Imedaiwa kuwa vikao vya maandalizi ya wawili hao kuoana vilikuwa zimekamilika, pamoja na kutangazwa kanisani, hata…

Read More