Ateba aanza na bao, Simba ikibanwa mbavu.

STRAIKA mpya wa Simba, Leonel Ateba ameanza kufungua akaunti ya mabao katika kikosi hicho, baada ya jioni ya leo Jumamosi, kutupia bao katika sare ya 1-1 iliyopata timu hiyo mbele ya Al Hilal ya Sudan. Katika mchezo huo wa kimataifa wa kirafiki uliopigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge jijini Dar es Salaam, nyota huyo…

Read More

Wanawake kutoka nchi 11 wachuana kuhifadhi Quran

Dar es Salaam. Mshiriki kutoka Algeria, ameibuka mshindi katika fainali za mashindano ya wanawake ya dunia ya kuhifadhi Quran yaliyofanyika jijini Dar es Salaam. Washindi wengine katika mashindano hayo yaliyofanyika kwa mara ya kwanza nchini Agosti 31, 2024 ni wa pili kutoka Marekani, akifuatiwa na mwingine kutoka Jordan, Zanzibar na Tanzania Bara. Washindi wamepatiwa zawadi…

Read More

Mamluki wa Urusi waondoka Burkina Faso ili kupigana Kursk – DW – 31.08.2024

Katika mahojiano na shirika la habari la AFP, Viktor Yermolaev, mkuu wa kitengo cha wanamgambo kinachojulikana kwa jina la Medvedi (Bears) nchini Urusi na Bear Brigade huko Magharibi, amesema wapiganaji wake wengi wameondoka Burkina Faso, huku wachache tu wakisalia katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi. Ukraine mapema mwezi huu ilianzisha uvamizi ambao haujawahi kushuhudiwa katika…

Read More

Waajiri watakiwa kutoa taarifa za wanaoumia kazini

Arusha. Serikali imewaagiza waajiri kote nchini kutoa taarifa katika Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), zinazohusu wafanyakazi wao wanaopata ajali, ugonjwa au kifo katika maeneo yao ya kazi, ili waweze kupatiwa stahiki zao kwa wakati kwa mujibu wa sheria. Hayo yamebainishwa Agosti 30, 2024 na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira…

Read More

Pacha ya Edgar, Selemani yasukwa

KOCHA Mkuu wa Fountain Gate FC, Mohamed Muya amesema baada ya kuonja ushindi wa kwanza wa Ligi Kuu Bara msimu huu, anatengeneza muunganiko mzuri katika safu ya ushambuliaji inayoongozwa na Edgar William na Seleman Mwalimu ‘Gomez’. Nyota hao waliipatia timu hiyo ushindi wa mabao 2-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo Agosti…

Read More

Rais Samia kusaka fedha za miradi minne China

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwasilisha miradi minne kwa Serikali ya China kwa lengo la kupatiwa fedha za mkopo nafuu na msaada ya utekelezaji wake. Anatarajia kuiwasilisha katika mkutano wa kilele wa wakuu wa nchi na Serikali wa Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC), ambalo kwa miongo zaidi ya…

Read More

Wanne wafariki ajalini wakitoka harusini

Dodoma. Watu wanne wamefariki dunia baada ya lori aina ya Scania lilobeba mafuta ya petroli kugongana uso kwa uso na basi aina ya Coaster iliyobeba ndugu waliokuwa wakitoka katika sherehe ya harusi Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Kamishana Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi, George Katabazi amesema ajali hiyo…

Read More

40 LUCKY SEVENS SLOTI YA UTAJIRI

MERIDIANBET unawekeza mtaji mdogo na baadae matunda yake unakuwa bilionea wa maisha yako kwa kucheza mchezo wa kasino ya mtandaoni unaitwa 40 Lucky Sevens unahusu matunda ambapo na unatoa ushindi kila hatua. Jisajili Meridianbet ufurahie ushindi huu. 40 Lucky Sevens ni mchezo wa sloti kutoka kasino ya mtandaoni kutoka kwa mtoa huduma “Game Art“. Utapenda…

Read More