
Kakolanya asimulia kipigo cha kwanza
KIPA wa Namungo FC, Beno Kakolanya amesema kuanza kwao vibaya mechi ya kwanza ya Ligi Kuu dhidi ya Tabora United iliyowafunga mabao 2-0, imewafungua macho kukaza buti. Alisema Tabora United ilikuwa na kikosi cha wachezaji wazuri kama mshambuliaji Heritier Makambo, hivyo ushindani ulikuwa mkubwa ambao uliwapa wapinzani wao ushindi. “Hakuna kitu kibaya kama kufungwa nyumbani,…