Kakolanya asimulia kipigo cha kwanza

KIPA wa Namungo FC, Beno Kakolanya amesema kuanza kwao vibaya mechi ya kwanza ya Ligi Kuu dhidi ya Tabora United iliyowafunga mabao 2-0, imewafungua macho kukaza buti. Alisema Tabora United ilikuwa na kikosi cha wachezaji wazuri kama mshambuliaji Heritier Makambo, hivyo ushindani ulikuwa mkubwa ambao uliwapa wapinzani wao ushindi. “Hakuna kitu kibaya kama kufungwa nyumbani,…

Read More

Hali ya Wavuvi Wahindi Huku Kukiwa na Mabadiliko ya Tabianchi na Sera za Serikali – Masuala ya Ulimwenguni

Mvuvi anauza aina chache za samaki. Kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa, ukubwa wa samaki wanaovuliwa na aina mbalimbali za samaki wanaovuliwa zimepungua kwa kiasi kikubwa baada ya muda. Mchoro: Aishwarya Bajpai/IPS na Aishwarya Bajpai (delhi mpya) Jumatano, Agosti 28, 2024 Inter Press Service NEW DELHI, Agosti 28 (IPS) – Kuongezeka kwa joto kwa…

Read More

Makambo aongeza mzuka Tabora United

UWEPO wa mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Heritier Makambo ndani ya kikosi cha Tabora United, umeonekana kuwafurahisha mashabiki wa timu hiyo. Mashabiki hao wamesema Makambo ameongeza staili ya tatu ya kushangilia kutoka mbili walizozizoea. Tambo hizo zinakuja ikiwa ni siku chache baada ya timu yao kuichakaza Namungo mabao 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara…

Read More

Yusuph: CAF yapo mengi ya kujifunza

MSHAMBULIAJI wa Coastal Union, Mbaraka Yusuph amesema licha ya kutolewa katika hatua za awali kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF), lakini hawajatoka patupu. Coastal ilitolewa katika mashindano hayo baada ya kufungwa nyumbani na ugenini jumla ya mabao 3-0 na Bravos do Maquis ya Angola, jambo ambalo mchezaji huyo kalichukua kama funzo la kujituma…

Read More

Mume auawa, mke na watoto wajeruhiwa

Dodoma. Ndani ya nyumba walimolala familia ya watu sita ya Michael Richard (36), damu imetapakaa ukutani, godoro na sehemu ya kitanda vikiwa vimeungua moto. Moja ya dirisha la chumba hicho pia limeungua moto, huku vitu vilivyokuwa sebuleni katika nyumba hiyo ya vyumba viwili iliyopo Mtaa wa Mbuyuni, Kata ya Kizota mkoani Dodoma, vikinusurika kuungua baada…

Read More