
NELSON MANDELA YAPONGEZWA KWA KUUNGANISHA JAMII KUPITIA BUNIFU
Mkuu wa Wilaya ya Kiteto Mhe.Remidius Mwema (Kulia) akipata maelezo kuhusu bunifu ya Funza Lishe inayozalishwa na taka ya mkonge kwa ajili ya chakula cha Mifugo na Mbolea kutoka kwa Mbunifu Aziza Konyo (Kushoto) leo Agosti 4, 2024 alipotembelea banda la Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela katika Maonesho ya…