DJ Ally B akiwasha kwa Mkapa

DJ maarufu nchini, Ally Suleiman Simba ‘DJ Ally B’, amegeuka msanii wa muda mfupi, nje na kazi yake ameamua kuimba nyimbo mbalimbali za wakongwe. DJ huyo alikuwa anapiga nyimbo na kuimba ambapo alifanya shangwe za mashabiki zilipuke katika Uwanja wa Benjamin Mkapa katika tamasha la kilele cha ‘Wiki ya Mwananchi’. Ally B, alikuwa anazima muziki…

Read More

Mboto kama Mourinho | Mwanaspoti

MSANII wa vichekesho,  Mboto amejigeuza Jose Mourinho wakati akiiongoza timu ya masupastaa wanaoishabiki Yanga akiwa kama kocha amefanya kituko cha kuamua kuingia uwanjani kumfokea straika baada ya kukosa bao. Timu hiyo inacheza dhidi ya Maveterani Yanga ambapo timu hiyo ikiwa nyuma kwa mabao 2-1 aliona isiwe tabu kwa kuamua kuingia uwanjani baada ya mshambuliaji mmoja…

Read More

BALOZI NCHIMBI AKOSHWA UTEKELEZAJI ILANI KIGOMA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameipongeza Serikali ya Mkoa wa Kigoma na Kamati ya Siasa mkoani humo, kwa utekelezaji wa viwango vizuri wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020 – 2025, ambapo ndani ya miaka 3 iliyopita takriban shilingi 1.4 trilioni zimepelekwa na kugusa nyanja zote za maendeleo kwa ajili ya wananchi….

Read More

Mario asapraizi mashabiki kwa pikipiki

MSANII wa Bongo Fleva, Omary Ally Mwanga ‘Marioo’ amewafanyia sapraizi mashabiki wa Yanga kutokana na aina  ya uingiaji wake Uwanja wa Benjamin Mkapa kutumbuiza sherehe za kilele cha Wiki ya Mwananchi. Kabla ya msanii huyo kuingia yalianza kupigwa mafakati juu, walifuatilia waendesha bodaboda waliozunguka uwanja akiwamo naye akiendesha yake, jambo ambalo lilifanya mashabiki kupata vaibu…

Read More

Chunya yamlilia Sauli, wafanyakazi wakihofia vibarua vyao

Mbeya. Halmashauri ya Wilaya ya Chunya imepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha mwekezaji maarufu na mzaliwa wa wilaya hiyo, Solomon Mwalavila ‘Sauli’, aliyefariki dunia kwa ajali ya gari. Mwalavila, ambaye alikuwa mmiliki wa mabasi ya Sauli yanayosafirisha abiria mikoani, amefariki dunia leo Jumapili, Agosti 4, 2024 baada ya gari lake kugongwa kwa nyuma…

Read More

Meja Kunta aliamsha kwa Mkapa

MWIMBAJI wa singeli nchini, Meja Kunta ameingia katika Uwanja wa Benjamin Mkapa katika kilele cha ‘Wiki ya Mwananchi’ huku akiimba wimbo maalumu wa timu hiyo unaojulikana kwa jina la Mwananchi aliomshirikisha Billnass. Wimbo huo uliamsha shangwe kwa mashabiki waliohudhuria tamasha hilo ambalo walianza kuimba na kucheza kwa pamoja. Mbali na wimbo huo ila Meja Kunta…

Read More