Hali tete, maisha ya wakazi Kilwa baada ya mafuriko

Lindi. Mafuriko yaliyotokea nchini kati ya Oktoba 2023 hadi Mei mwaka huu, yameendelea kusababisha maumivu kwa wakazi wa maeneo yaliyoathirika na janga hilo, hasa katika Kijiji cha Myumbu wilayani Kilwa Mkoa wa Lindi. Mei 4 mwaka huu wilaya hiyo ilikumbwa na mafuriko yaliyoambatana na Kimbunga Hidaya, yaliyosomba mashamba, vyombo, nyumba na vyakula vya wakazi hao….

Read More

BillNass aingia kitofauti kwa Mkapa 

MSANII wa kizazi kipya ‘BillNass’ atua kivingine katika uwanja wa Benjamin Mkapa huku akitoa burudani ili washangaza mashabiki. Staa huyo alitua na kikundi chake kikiwa kimebeba vitu vilivyoonekana kama Ungo kumbe ni picha za wachezaji wa Yanga. Huyu ni msanii wa pili kuliamsha katika siku hii ya Wananchi, baada ya kutoka Christian Bella, ambaye nae…

Read More

Madarasa vinara wanafunzi kuacha masomo yatajwa

Dar es Salaam. Wanafunzi 306,113 waliacha shule mwaka 2023 huku darasa la nne, kidato cha kwanza na pili wakiongoza, Ripoti ya Best 2024 inaeleza. Hiyo ni baada ya madarasa hayo kutoa asilimia 55.6 ya wanafunzi wote walioacha shule, huku wadau wa elimu wakitaja umaskini, kutoandaliwa vyema kumudu masomo ya sekondari, ufuatiliaji duni wa wazazi kuwa…

Read More

Yanga noma, yatawala kila kona

YANGA imeendelea kufanya vizuri kila kona baada ya kikosi hicho cha Maveterani kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya timu ya Wasanii, katika mchezo wa utangulizi kwenye kilele cha wiki ya Mwananchi. Hizi zote ni shamra shamra za kuchangamsha siku ya Wananchi, huku mechi hiyo ikiwaacha mashabiki na vicheko maana licha ya ushindani mkubwa…

Read More

Abiria 45 wanusurika kifo basi likipinduka Mwanza

Mwanza. Abiria 45 waliokuwa wanasafiri na basi la Kampuni ya ‘Bunzali Mtoto Safaris’ wamenusurika kifo baada ya gari hilo kupinduka eneo la Buhongwa Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza. Ajali ya basi hilo lililokuwa likitokea Stendi ya Mabasi Nyegezi jijini hapa kwenda Maswa mkoani Simiyu imetokea leo Jumapili Agosti 4, 2024, Saa 6:30 mchana. Taarifa za awali…

Read More