
Ndoa hailazimishwi, epuka kuoa au kuolewa na RST
Tumeumbwa watu kila aina, wabaya hata wazuri. Kwa vile ndoa hufungwa na wanadamu, tunaomba tugusie suala nyeti bila kuonekana kama tunabagua au kuwawekea utu ubaya. Hivyo, siyo uzushi kusema dunia ina watu wazuri na wabaya. Leo tutaongelea tutakachokiita RST, ni maana ya Roho mbaya, Sura mbaya na Tabia mbaya. Kwanza, tukubaliane. Kuna watu wenye sifa…