Prince Dube awakuna Wananchi mapemaa

WAKATI zimesalia saa chache kabla ya kikosi cha Yanga kutambulishwa kwa mashabiki katika sherehje za kuhitimisha Kilele cha Wiki ya Mwananchi, mashabiki wa klabu hiyo mapema tu wameanza kumtja straika mpya wa timu hiyo, Prince Dube wakidai ndiye usajili uliowakuna zaidi. Mashabiki hao wamesema Dube ndioye aliyebeba kwa sasa matumaini yao katika eneo la mbele…

Read More

Simba hii ina watu! | Mwanaspoti

SIMBA imefanya yao kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa katika tamasha la Simba Day lililoenda kwa jina la Ubaya Ubwela lililofanuika Jumamosi na wana Msimbazi wakapata burudani ya aina yake, huku wakishuhudia soka tamu kutoka kwa kikosi hicho kinachojitafuta kwa sasa baada ya misimu mitatu mibovu. Ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya APR katika mchezo wa…

Read More

Vinyongo, visasi vinavyogharimu maisha ya wenza

Mwanza. Hivi karibuni matukio ya wanandoa kujichukulia hatua mkononi ikiwemo kuua wenza wao yameshamiri huku, sababu kubwa ikitajwa ni visasi na vinyongo. Hili linatokana na kutokuwepo nafasi ya kuzungumza kutafuta namna bora yakutatua tatizo pale wanapotofautiana. Kufuatia hali hiyo baadhi ya wadau wakiwemo viongozi wa dini wamezungumza na jarida la Familia na kushauri namna bora…

Read More

Hizi Simba, Yanga tatizo lipo hapa tu!

KUNA wakati huwa nacheka sana nikizisikia tambo za wanachama na mashabiki wa klabu za Simba na Yanga. Iwe ni katika vijiwe vya kahawa mitaani au ndani ya mitandao ya kijamii, huchekesha! Wanatambiana kuhusu nyota wa vikosi vyao. Iwe ni wale waliopo vikosini tayari ama wanaotajwa kusajiliwa kila msimu. Hutambiana hadi uwezo wa wafadhili na wadhamini…

Read More

Tanzania imara mbio za kufuzu Kombe la Dunia

TIMU ya taifa ya vijana ya Kriketi imeanza vyema mbio za kufuzu fainali za Kombe la Dunia kwa vijana walio chini ya miaka 19 kwa Divisheni ya Pili baada ushindi mnono wa wiketi 6 dhidi ya Nigeria katika mchezo wa ufunguzi uliochezwa wikiendi iliyopita kwenye Uwanja wa Dar Gymkhana, jijini Dar es Salaam. Ni timu…

Read More

Funga Kazi… Nyie Hamuogopi! | Mwanaspoti

UKIWA shabiki wa Yanga leo una jambo moja tu la kufanya kama ni siku ya kuabudu basi nenda kwanza kamshukuru Mungu, kisha ukitoka kaivae uzi wa klabu hiyo, weka fedha mfukoni na usisahau tiketi yako na ukiona vipi beba na vuvuzela kwena kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa kitachoendelea huko unakijua. Ndio, si unajua kwamba Wananchi…

Read More

Azam FC moto, yabeba ndoo Kigali

WAWAKILISHI wa Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Azam FC imeendelea kukunjua makucha baada ya juzi usiku kupata ushindi wa bao 1-0 na kubeba ubingwa ikiwa jijini Kigali, Rwanda. Ndiyo, kama ambavyo Simba ilivyokuwa Kwa Mkapa kuhitimisha tamasha la Simba Day na kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya APR ya Rwanda au kama jana…

Read More

WMA YAELEZA MCHANGO WAKE KATIKA SEKTA YA KILIMO

Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Wakala wa Vipimo (WMA), Veronica Simba akitoa elimu kuhusu matumizi ya vipimo sahihi katika Maonesho ya Kitaifa ya Kilimo NaneNane (2024) yanaoendelea jijini Dodoma. Afisa Vipimo Mwandamizi kutoka Wakala wa Vipimo (WMA) akitoa elimu kuhusu umuhimu wa kuhakiki dira za maji katika Maonesho ya Kitaifa ya Kilimo Nanenane (2024) yanayoendelea…

Read More