Timu ya Wanasheria yaambatana na Rais Samia ziara ya Morogoro

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital TIMU ya wanasheria wa kampeni ya Mama Samia Legal Aid imeambatana na Rais Samia Suluhu Hassan kwenye ziara yake mkoani Morogoro kwa ajili ya kusikiliza na kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi. Rais Samia yuko katika ziara ya siku sita mkoani Morogoro iliyoanza tarehe 2 na inayotarajiwa kukamilika  Agosti 7, 2024….

Read More

TBS YASHIRIKI MAONESHO NANENANE KANDA YA KUSINI, YATOA ELIMU KUHUSU UBORA WA BIDHAA

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewashauri wajasiriamali kuzingatia matakwa ya kisheria katika masuala ya afya,usalama na mazingira kwenye usindikizaji wa bidhaa mbalimbali kwa lengo la kuzalisha bidhaa bora na salama. Akizungumza Agosti 03, 2024 katika Maonesho ya Nanenane yanayofanyika katika Viwanja vya Ngongo mkoani Lindi Meneja wa TBS, Kanda ya Kusini Mhandisi Said Mkwawa amesema…

Read More

NIC yaweka mikakati ya Bima ya Kilimo na Mifugo

Mkurugenzi wa Masoko na Uhusiano wa NIC Karimu Meshack akizungumza na Waandishi wa Habari kwenye Banda la NIC katika Maonesho ya Kitaifa ya Kilimo Nane Nane yanayofanyika Viwanja vya Nzuguni jijini Dar es Salaam. Na Chalila Kibuda,Michuzi TV NIC Insurance imesema kuwa Bima ya Kilimo ndio mkombozi Kwa wakulima wakati majanga ya kuharibiwa mazao. Hayo…

Read More

PWANI WAKUMBUSHWA UMUHIMU WA KUTUNZA MAZINGIRA

Mwenyekiti wa Taasisi ya Mazingira  na Maliasili Tanzania Mwanawetu Saidi akifafanua  jambo mbele ya Waandishi wa habari hawapo pichani Na Khadija Kalili Michuzi Tv  TASISI isiyo ya kiserikali ambayo inajihusisha na utunzaji wa mazingira Mkoani Pwani  inayofahamika  kama Mazingira na Utalii  nayoongozwa na Mwanawetu Saidi wamefanya ziara katika shule za Muheza na Mount Calvary. Akizungumza …

Read More

MAKAMU WA RAIS ASAFIRI KWA TRENI KUSHIRIKI YANGA DAY

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango na Mwenza wake Mama Mbonimpaye Mpango leo tarehe 04 Agosti 2024 wakisafiri kutoka Dodoma kuelekea Dar es salaam kwa kutumia Usafiri wa Treni ya Kisasa ya Umeme inayotumia Reli ya Kisasa (SGR). Makamu wa Rais amesafiri kuelekea Jijini Dar es Salaam ambapo…

Read More

Udom wahamasisha matumizi teknolojia za kisasa kuongeza tija kwenye kilimo

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Dodoma Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) kimewahamasisha wakulima kutumia mbinu na teknolojia mbalimbali za kilimo, mifugo na uvuvi walizozibuni kwa lengo la kuongeza tija na kukuza sekta ya kilimo. Akizungumza kwenye Maonesho ya Wakulima Nanenane yanayofanyika kitaifa jijini Dodoma, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Masoko Udom, Rose Mdami, amesema…

Read More